huyu dicteta, mbaguzi na mbinafsi kamwe hawezi kuwa raisi wa nchi hii ana laana ya wananchi wa jimbo la Biharamulo kwa kuwachakachuwa haki zao za kupata barabara ya lami na kuipindisha kwenda kupitia kwao chato
wewe kweli ---- kwani leo ndo umejuwa waislamu nchi hii wamenyanyaswa vya kutosha?????basi na waislamu wajitoe kwenye mashirika yanayoongoza kwa kuajri wakristo tu any way its too late waislam sasa wamezinduka na ss kazi kwenu
Hivi ndivyo Wachina na wahindi wanavyotuibia kwa kukwepa kulipa kodi TRA
Hivi karibuni nilioenda mitaa ya kitumbini kwenye maduka ya jumla kununua bidhaa za dukani kwangu na nilifanya manunuzi kwenye maduka ya wachina na wahindi.
Nilinunua mzigo wa kama 11m lakini risiti halali za TRA...
Jibu hoja kwani siyo kukurupuka sio kuwatukana wasubi na pia si muadilifu ki ivyo watu wanavyomdhania. Hapa Magufuli hajawatendea haki just jimbo moja tu la Biharamulo je akipewa nchi si ndiyo atakuwa Dictotor kama mobutu?
Kimsingi magufuli ndiyo kasababisha Biharamulo imekuwa ngome imara ya cdm baada ya kuwanyanyasa sana wananchi wa biharamulo na kuona mahali pekee pa kujikomboa ni kupitia upinzani
kaka unajidanganya sana how many tanzanians wana access facebook na wanahitaji kupewa habari na media?Kimsingi hawa ndo wapiga kura haswaa
Tunahitaji kuwahabarisha mazuri na mabaya ya viongozi ili waamue.....
mkuu tuna ushahidi mwingi tu alivyojiuzia nyumba za serikali kwa kupitia jina la mdogo wake, kuna watu wengi tu wa kabila lake walipata ajira TAN ROAD kupitia yeye..................
mkuu ana mengi mabaya kama haya ambayo yanamnyima sifa ya kuwa rais nina amini bado kuna watu wengi wazuri hawajapata nafasi ya kuonekana kutokana na mfumo mbovu wa kupata viongoi wauzuri ndani ya chama tawala hivi nani aliekuwa anamfahamu mtu kama tundu lissu, mnyika?
a
True..... Huyu mtu ni mbinafsi,mkabila na mlipiza visasi na hii ndiyo sababu kubwa ya ccm kupoteza jimbo la Biharamulo na imeshakuwa ngome thabiti ya cdm mkoani kagera
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.