Recent content by bite1999

  1. bite1999

    Ulimwengu wa majini na mambo niliyoshuhudia na kujifunza kwao

    Kipindi haya yote unayafanya ulikuwa na umri gani?
  2. bite1999

    Ulimwengu wa majini na mambo niliyoshuhudia na kujifunza kwao

    Asante kwa jibu lako zuri nimekuelewa, japo nina swali lingine. Kipindi cha nyuma nilikuwa na uwezo wa kukumbuka kila kitu mwalimu lichofundisha darasani yaani nikifika kwenye mtihani nakumbuka jinsi aliyokuwa amekiandika ubaoni ni kama nahamisha tu. Niliupofika Sekondari hiyo hali ikapotea...
  3. bite1999

    Ulimwengu wa majini na mambo niliyoshuhudia na kujifunza kwao

    Samahani naomba kujua jambo, kipindi nikiwa mdogo wa kama miaka 12 au 13 niliwahi kutumwa mashineni kusaga unga na siku hiyo kulikuwa na foleni hivyo ilinipeleka kuchelewa kutoka mashineni. Niliondoka giza likiwa limeshaingia hivyo nje kulikuwa kunatisha kwa sababu ni eneo lenye migomba mingi...
  4. bite1999

    Hauhitaji kuwa 'genius' kujua Simba ni bingwa msimu wa 2024-25

    Rudini mukajipange tena bado hamjachelewa
  5. bite1999

    Mara ya mwisho ulilia lini? sababu gani ilipelekea ukalia?

    Sorry kwani wewe ni mwanamke au mwanaume?
  6. bite1999

    Simulizi: Najisalimisha

    :)
  7. bite1999

    Hauhitaji kuwa 'genius' kujua Simba ni bingwa msimu wa 2024-25

    Hivi PASADENA uliandikaje tena kuhusu timu yako ya mchongo? mwaka huu munachukua makombe mangapi vile? labda kombe la chai yaani munatia huruma sana kwa kweli ni aibuu aibu yako. Eti timu inabadilisha makocha zaidi ya unavyobadilisha boxa haya rudi kaandike tena upupu wako, kolo la mwisho wewe
  8. bite1999

    Sheli ya hapa dampo Arusha inaungua muda huu

    Sasa si usogee utupigie picha kwa karibu habari ikamilike
  9. bite1999

    Ukiambiwa kuna viwanja vya bure uchague tu sehemu ya kujenga na kuishi kati ya Vikindu, Kibaha, Chanika na Bagamoyo, utachagua kujenga wapi?

    Binafsi napenda Chanika zaidi, kumechangamka sana hasa ukiwa unahitaji kufanya biashara basi hapo ni mahali sasa kabisa. Kuna hali ya hewa nzuri sana na Mji wake unakua kwa kasi, kama huna usafiri binafsi basi Chanika usafiri ni wa uhakika kwa saa 24. Chanika ni the best kwa upande wangu.
  10. bite1999

    Picha Ajali: Wasiofahamika wateketea kwa moto katika ajali Mufindi, gari zimeisha kabisa yamebaki majivu

    Ilinitokea hiyo mwaka juzi sitasahau gari yetu ilipogonga fuso lililoharibika barabarani tena kwenye muinuko ikapelekea mimi kuvunjika mguu mpaka leo ni chuma mguuni.
  11. bite1999

    Ninunue gari gani kati ya Toyota IST na Toyota Premio?

    Primio zimepanda sana kwa sasa hiyo ni bei ya old model
  12. bite1999

    Nini faida na hasara za gari aina ya Toyota Premio kwa engine za D4?

    Mnunulie Premio yenye cc 1490 hutajuta ina engine ya IST
Back
Top Bottom