Recent content by Bitcoinbase

  1. Bitcoinbase

    DOKEZO TAMISEMI Utumishi wameshindwa kuhamisha taarifa za mishahara ya watumishi waliohama

    Kero: Tamisemi Utumishi wameshindwa kuhamisha taarifa za mishahara ya watumishi waliohama. Watumishi wanahangaika Huko na huku bila msaada ,ikiwa mtu amepata UHAMISHO halali kwa Nini zoezi tena lakuhamisha taarifa zake ahangaike kiasi Cha zaidi ya Miaka. Huu ni uonevi kwa watumishi , sio...
  2. Bitcoinbase

    Tamisemi hamisheni taarifa za mishahara ya walimu waliopata uhamisho mwaka Jana mwezi wa kumi wanakwama kuingia katika mfumo wa PEPMIS

    Na mimi ndicho ninachopitia kwa sasa yaani unapita huku mara kule lakini wapi , afisa utumishi wangu ninakotoka anasema tayari amefanya kazi yake , TAMISEMI sasa kuapprove imekuwa nongwa , daah moorali ya kazi hakuna kabisa
  3. Bitcoinbase

    Nikiangalia comment za vijana wa kitanzania kuhusu maandamano ya Kenya ni kama mnatamani ila mnashindwa nani aanzishe. Msithubutu tuipende nchi yetu

    Bado kitambo kidogo tu ,,, huu ujinga unaoendelea hapa nchini Tz !! Amini nakwambia wimbi la vijana wasio na ajira wanajitafuta alafu wanakutana na ukiritimba mkubwa na manyanyaso ya serikali na baadhi ya viongozi kujilimbikizia mali, Vijana Hawa wamekata tamaa hawaioni kesho Yao , wanaona...
  4. Bitcoinbase

    KERO MWAUWASA acheni wizi wa kubambikia wateja bili na urasimu kwenye kuunganishiwa huduma ya maji

    MWAUWASA( Mwanza Nyamagana ) acheni wizi kubambikizia bili za Maji Wateja na urasimu kwenye mchakato wa kuunganishwa Huduma ya Maji. Inaumiza wananchi au mnataka wananchi waingie barabarani kama Kenya ndio mjue maumivu mnayowapa wananchi kwa bili za uongo? Pia soma - MWAUWASA: Mwanza hakuna...
  5. Bitcoinbase

    Paul Makonda awekewe ulinzi mkali sana kumzunguka kwa sababu ni hazina kwa Taifa

    Huu Uzi umfikie mama yetu Samia suluhu Hassan,,, Lakini pia watanzania tuendelee kumuombea kwa kujitoa kwake bila woga kufanya maamuzi magumu yanayolenga kutatua changamoto za wananchi na sio kulinda watawala. Makonda piga kazi tunakukubali Nchi yetu Bado inahitaji viongozi wa Kariba yako ...
  6. Bitcoinbase

    NYUMBA NA KIWANJA

    Picha hio
  7. Bitcoinbase

    Wenye uzoefu wa ujenzi wa nyumba tafadhali ushauri wenu

    Na support kabisa wataalam ni muhimu mno wazoefu sisi tuliojenga Jenga tunafahamu mahali tuliwahi kukosea na tukajuta
  8. Bitcoinbase

    NYUMBA NA KIWANJA

    Nyumba inauzwa viwanja viwili ndani ya fence . Vyumba vya Kula 2 self Chumba Cha Kulala Cha nje 1 Sebule na dinnning Public toilet Fence Eneo 57*35 Location. Bendera tatu /BugandoHospital - Kona ya mzungu_ Mwanza _ wilaya ya nyamagana Price 25milioni.
  9. Bitcoinbase

    KIWANJA NA NYUMBA

    Bado finishing tu , vitu vidogo vidogo na kuhamia
  10. Bitcoinbase

    KIWANJA NA NYUMBA

    Mwanza
  11. Bitcoinbase

    KIWANJA NA NYUMBA

    Nyumba inauzwa viwanja viwili ndani ya fence . Vyumba vya Kula 2 self Chumba Cha Kulala Cha nje 1 Sebule na dinnning Public toilet Fence Eneo 57*35 Location. Bendera tatu / Kona ya mzungu Price 25milioni.
  12. Bitcoinbase

    Spacio used

    Mwenye Spacio used angependa kunyang'anywa msimu huu wa mvua , njoo inbobo, Location - Mwanza
  13. Bitcoinbase

    Page ya TAMISEMI imedorora, taarifa za uhamisho hamtoi, watu wanahama kimyakimya na hatma yetu hatuielewi

    Majina ya uhamisho kwa January Hadi March yanatoka June mwishoni baada ya waajiriwa wapya kuripoti vituo vya kazi ili kubalance upungufu ungeweza kujitokeza. Ahsante mkuu.
Back
Top Bottom