Kila nikivaa muda mrefu , nikija kutoa inabaki alama (black marks)

Kila nikivaa muda mrefu , nikija kutoa inabaki alama (black marks)

Bitcoinbase

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2016
Posts
319
Reaction score
285
Ni mdau wa kutumia miwani kutokana na changamoto ya macho niliyonayo , Sasa Kila nikivaa muda mrefu , nikija kutoa inabaki alama (black marks ) kwenye sides za nose brigde, Kama Nina vidonda vile ...
Hivi husababishwa na Nini ! Na Nini Cha kufanya kuepukana nazo ,,,
Je kwa Nini mbona nahisi inanitokea Mimi tu au Kuna amewahi experience hii changamoto ?
Naombenibushauri ?
 
Ni mdau wa kutumia miwani kutokana na changamoto ya macho niliyonayo , Sasa Kila nikivaa muda mrefu , nikija kutoa inabaki alama (black marks ) kwenye sides za nose brigde, Kama Nina vidonda vile ...
Hivi husababishwa na Nini ! Na Nini Cha kufanya kuepukana nazo ,,,
Je kwa Nini mbona nahisi inanitokea Mimi tu au Kuna amewahi experience hii changamoto ?
Naombenibushauri ?
Allergy! Badili frem

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mdau wa kutumia miwani kutokana na changamoto ya macho niliyonayo , Sasa Kila nikivaa muda mrefu , nikija kutoa inabaki alama (black marks ) kwenye sides za nose brigde, Kama Nina vidonda vile ...
Hivi husababishwa na Nini ! Na Nini Cha kufanya kuepukana nazo ,,,
Je kwa Nini mbona nahisi inanitokea Mimi tu au Kuna amewahi experience hii changamoto ?
Naombenibushauri ?
Hiyo changamoto haikwepeki, mimi niliacha kutumia.
 
Back
Top Bottom