Heri ya mwaka mpya wana JF,
Leo nimekuja hapa natafuta mchumba/mke wa kuoa na tujenge familia mimi nina miaka 30 ninaishi Moshi Kilimanjaro, naomba ambaye yuko tiyari anicheck pm au kwa namba zangu +255786156471.
Msichana asiwe na umri zaidi ya miaka 30.
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.