Nina miaka 30,ila najihisi nina miaka 20!kuna tatizo?

Ni mtindo mpya wa maisha siku hizi. Ni vyema na inapendeza huoni hata yule muasisi wa mtindo huu na mentor wenu anafikisha 62 mwezi ujao lakini anajihisi ndio anakaribia 24 na matendo yake ni ya 21.

Endeleeni kujihisi hivyo hivyo na baaada ya miaka 10 jishushe tena jihisi una 17 unakuwa unaanza upya
 
Ni mtindo mpya wa maisha siku hizi. Ni vyema na inapendeza huoni hata yule muasisi wa mtindo huu na mentor wenu anafikisha 62 mwezi ujao lakini anajihisi ndio anakaribia 24 na matendo yake ni ya 21.

Endeleeni kujihisi hivyo hivyo na baaada ya miaka 10 jishushe tena jihisi una 17 unakuwa unaanza upya
ahahaha,kwani ni mtindo mbaya?
 
Kuna hatua ( stage ) uliiruka katika makuzi ( child development ) sasa unairudia na ndio maana uko hivyo na kujihisi hivyo. Ni kama nchi yetu katika zile hatua za kimaendeleo tuliruka ubepari tukakimbilia ujamaa, sasa tunaurudia ubepari ili tuweze kusonga mbele !!
yaweza kuwa,mkuu
 
Hakuna tatizo ni maamuzi yako hayo punguza kidogo ujihisi under 18 kabisa.
 
Hali hiyo ipo ila jaribu kuukubali ukweli kwamba miaka inaenda mbele hairudi nyuma.
 
Kuna mtu mmoja kwenye jukwaa la jamii intelligence aliandika hivi kama wewe unamiaka 25 lakini
 
Kuna mtu mmoja kule jamii intellegence aliandika hivi,mfano sasa hivi una miaka 25 lakini ukauliza swali au ukawa unamawazo au matendo anayostahili kuuliza, kuwaza au kufanya mtoto mwenye miaka 15,ili kutambua uwezo wako wa akili unafanya hivi(100×15)÷25 .Jibu utakalopata ndyo uwezo wako wa kiakili
>kumbuka jibu likiwa kati ya:
1)80-90;upo chini ya wastani
2)70-79;basi una akili duni
3)chini ya 70,basi una mtindio wa ubongo
Hivyo nyie ambao una umri wa 30 lakini bado unahihisi una miaka 20 unaweza kujiona upo mahali ulipo kwa kuzingatia viwango vilivyowekwa hapo juu
 
Kuna mtu mmoja kule jamii intellegence aliandika hivi,mfano sasa hivi una miaka 25 lakini ukauliza swali au ukawa unamawazo au matendo anayostahili kuuliza, kuwaza au kufanya mtoto mwenye miaka 15,ili kutambua uwezo wako wa akili unafanya hivi(100×15)÷25 .Jibu utakalopata ndyo uwezo wako wa kiakili
>kumbuka jibu likiwa kati ya:
1)80-90;upo chini ya wastani
2)70-79;basi una akili duni
3)chini ya 70,basi una mtindio wa ubongo
Hivyo nyie ambao una umri wa 30 lakini bado unahihisi una miaka 20 unaweza kujiona upo mahali ulipo kwa kuzingatia viwango vilivyowekwa hapo juu
100x20=2000,gawa kwa 30 unapata 66.66!
That is below 70!
Ukiacha ushaidi huu,kuna ushaidi anuai wa kuthibitisha uduni wa akili?coz,academicwise and streetwise i am good!
 
Back
Top Bottom