Recent content by bisti

  1. B

    Kweli nimeamini hakuna kitu muhimu kama kuwa na amani ya moyo

    Ucjal mkuu tunashauriana mawazo huru. Mkuu kweli nampenda na si kimapenzi tena maana tumekua ni watu ambao tunaweza rudiana ila chokochoko zinakua nyingi sana maugomvi hayaishi binafsi hali hiyo imenichosha na amani nimekosa piah.
  2. B

    Kweli nimeamini hakuna kitu muhimu kama kuwa na amani ya moyo

    Ni kweli mkuu nimejaribu sana kurudisha moyo lakini nimeshindwa kabisaa yaan nikaona nisijitese kupretend love wakati sina amani. Nataka nikiwa inlove bas iwe ni really bila kujali lolote na si kupretend
  3. B

    Kweli nimeamini hakuna kitu muhimu kama kuwa na amani ya moyo

    Mkuu hiyo wanayoita karma sijui kama ikija sawa lakini amani ya moyo wangu ndo kila kitu maana kama ni kuzngua yeye ndiye aliyeanza sasa niishi na mtu wakati moyo wangu haujaridhia kila nikijarbu kusahau0 na kua happy nashindwa afu nikae nae tu inasaidia nini? Isitoshe siamini katika karma...so...
  4. B

    Kweli nimeamini hakuna kitu muhimu kama kuwa na amani ya moyo

    Habarini za asubuhi wanajamvi wa hili jukwaa ni asubuhi bado na mda wa kuanza pilika ndo huu lakini nimeona kushare nanyi swala langu hili kidogo. Binafsi nimewahi kua kwenye mahusiano ya mapenzi na binti mmoja na lengo letu lilikua ni kufika mbali kabisa, lakini kutokana na changamoto...
  5. B

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ahahahaahah
  6. B

    Tunauza maziwa fresh

    Nahtaji maziwa mtindi lita kumi chap
  7. B

    Kanuni 10 za kufuata kuongeza ukubwa wa uume kwa asili

    Andika kiswahili fasaha mkuu dick ndio nini?
  8. B

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Mkuu piga kazi Acha porojo zako
  9. B

    Hatimaye Umoja wa Afrika wamuita Trump na kumpatia sharti hili

    Watapoteza mda tu na rasilimali za mkutano ni vyema washughulikie matatizo ya Nchi zetu hayo mengine wakaushe
  10. B

    Kutoka dimba la Taifa: Simba SC watakata! Wairarua Singida Utd goli 4 kwa nunge, wajikita kileleni kwa alama mbili zaidi

    [emoji1] [emoji1] mimi nakula mafao tu baada ya utumishi uliotukuka.
Back
Top Bottom