Ucjal mkuu tunashauriana mawazo huru. Mkuu kweli nampenda na si kimapenzi tena maana tumekua ni watu ambao tunaweza rudiana ila chokochoko zinakua nyingi sana maugomvi hayaishi binafsi hali hiyo imenichosha na amani nimekosa piah.
Ni kweli mkuu nimejaribu sana kurudisha moyo lakini nimeshindwa kabisaa yaan nikaona nisijitese kupretend love wakati sina amani. Nataka nikiwa inlove bas iwe ni really bila kujali lolote na si kupretend
Mkuu hiyo wanayoita karma sijui kama ikija sawa lakini amani ya moyo wangu ndo kila kitu maana kama ni kuzngua yeye ndiye aliyeanza sasa niishi na mtu wakati moyo wangu haujaridhia kila nikijarbu kusahau0 na kua happy nashindwa afu nikae nae tu inasaidia nini? Isitoshe siamini katika karma...so...
Habarini za asubuhi wanajamvi wa hili jukwaa ni asubuhi bado na mda wa kuanza pilika ndo huu lakini nimeona kushare nanyi swala langu hili kidogo.
Binafsi nimewahi kua kwenye mahusiano ya mapenzi na binti mmoja na lengo letu lilikua ni kufika mbali kabisa, lakini kutokana na changamoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.