Toka enzi za Uhuru wa tanganyika kutoka kwa wakoloni wa kiingereza chini ya utawala wa malkia tukiwa na chama chetu cha tanu chini ya mwavuli wa mwalimu nyerere tukaja na asp chini ya mapinduzi ya kungoa utawala wa kisultani na kuiunganisha Tanganyika na Zanzibar na kuwa Tanzania toka wakati huo...
Hata useme Nn cc ni mabadiliko hatuhitaji Sera wala ilani kaa nazo ww, tunalia na mabadiliko kuwekana kwa ajili ya kulindana na mfumo kwa miaka hamsini+inatosha sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.