Recent content by bissmark marktosh

  1. bissmark marktosh

    Mapenzi: Kuna wanaume wanaopendwa na kukataa

    Hata niwe na manzi kali kiasi gani kama atatokea mwenye nyaa siwezi mwacha ngoo laxima nimngoe
  2. bissmark marktosh

    Miaka 19 ya Kifo cha Tupac, Ipi ni Nyimbo Bora Zaidi Unaikubali Toka Kwake?

    Album yake ya black Jesus yaani ndo hivyo
  3. bissmark marktosh

    Mabadiliko

    Toka enzi za Uhuru wa tanganyika kutoka kwa wakoloni wa kiingereza chini ya utawala wa malkia tukiwa na chama chetu cha tanu chini ya mwavuli wa mwalimu nyerere tukaja na asp chini ya mapinduzi ya kungoa utawala wa kisultani na kuiunganisha Tanganyika na Zanzibar na kuwa Tanzania toka wakati huo...
  4. bissmark marktosh

    Pigo la kwanza: Arusha mjini na Hai kurudi CCM!!

    Chuga home my sweety home hapa ndo upinzani wa kweli ulipo hatuitaji rushwa ya Unga wa mahindi kwa monaban tunayataka Mabadiliko' OK?lema is our mp.
  5. bissmark marktosh

    Ewe mtanzania usipoteze kura yako kumpa Lowassa

    Mtaalamu wa kemia aliye kunywa dawa isiyokuwa na formular
  6. bissmark marktosh

    VIDEO: Lowassa awataka Walutheri wampe Kura nyingi awe Rais wa kwanza Mlutheri

    Huu Uzi niwakutengeneza na siasa za udini wanazo hao jamaa zetu wa miaka hamsini na ushe....
  7. bissmark marktosh

    Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

    Okoa twiga kwa vizazi vijavyo
  8. bissmark marktosh

    Utabiri wangu kuhusu Mbowe

    Ya just like a fool, a fool completly
  9. bissmark marktosh

    Dr. Slaa avuliwa nguo, dili alilipanga Josephine. Alonga na Mwakyembe kabla hajaingia kwenye mkutano

    Hivi uchumba wa uzeeni ukoje tena mchumba mwenyewe mnaamkia chumba moja ha ha ha ha ha hii ni hatareee!
  10. bissmark marktosh

    Ishara ya kifo imetimia, CCM imeng'oka leo rasmi kwenye medani za siasa Tanzania

    NHC na political interprenuareship ya pombe magufuli
  11. bissmark marktosh

    Easy to discuss other people & their lives

    Ya make up drive 'em crazy lol!
  12. bissmark marktosh

    Kuipigia kura ukawa unatakiwa kama mwendawazimu

    Hata useme Nn cc ni mabadiliko hatuhitaji Sera wala ilani kaa nazo ww, tunalia na mabadiliko kuwekana kwa ajili ya kulindana na mfumo kwa miaka hamsini+inatosha sasa
  13. bissmark marktosh

    Sitta Ataka Mdahalo na Lowassa Kuhusu RICHMOND; Asisitiza Kuwa Lowassa ni Fisadi!

    Mbona Sita umewahi kutuhumiwa kujenga kasri yake kwa mamilioni ya shilingi?
Back
Top Bottom