Hakuna serikali isiyokuwa na adhabu sio kwamba haiwapendi raia we kama umebahatika kutokupigwa basi tayar una akili wengne ukimzaba Kofi tu akli hizoo znarud mnaelewana maisha yanaenda#mspangie utawala serikali za watu ebooh
Acha ulmbken wa kuandka andka ujinga elim yako unayosemea n hii y kuandka utumbo wa dini pengne unapwaya km k-ya amber ruti huNa maajabu.udini ulpingwa long
Ipo kasema anawasiwasi namatendo ya hivi na dini y kiislam katolea mfano nuhu na safina yake hamuamini huenda nae aliwabak waheNga.h ishu imenkwaza.Allgame
Bwege we mzaz wako alkupelek shule elim yako isaidie jamii sa huNa dira.usichanganye matendo ya mtu na dini mwambie na mwenzio muache udini.tag ubavu nyie
Mbowe na chadema nawaheshimu na kujali sana wanachofanya nngekuwa tajili ningewekeza chadema sijui IPO kwenye damu sema nikipiga kura wanaiba sijui niwasaidiaje
Bismillah.
Naomba kujua kwa mtu yeyote aliyeishi au kununua mtumba mji wa bunjumbura. Kat ya Dar na Bujumbura wapi mtumba wao n mkali na bei yao inatofaut sana na huku?
Help me niga mi nko kigoma nataka nkapoint vikal buju.
Naomba mwenye maujanja ananinasue
Asanteni kwa kuja JF
Ebhana kama Jana nlkimbia mji hali ngum nkafkli bora niende masoko y vijijin mana m nauza nguo zamitumba kufika sio p bora naul nngelewea tu goNgo&msuba..comming brund soon niga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.