Ndugu Mpendwa,
Amani iwe nawe! Tunamtukuza Mungu kwa Mwaka Mpya 2018.
Tumeona miaka ikianza na kumalizika kwa kadiri Mungu atupavyo neema. Suala la msingi ni kutafakari pia 'tunawaza nini juu ya BWANA', katika maisha yetu; *Kuinuliwa, kutiwa nguvu zaidi, kufanikiwa, au kubarikiwa, na hatua...