Kwa ufupi,ni kwamba watu wanajiendekeza, mana kuna mwingine anakwambia hawezi kulala bila mwanamke au mwanamke anakwambia hawezi kukaa siku tatu bila kufanya sasa uwa najiuliza ni kwanini,na wakikuona we haufanyi wanaanza kukuzushia una majini,jamani siwaelewi ujue namwachiaga Mungu.
Umenifrahisa sana,mpka imebidi nocheke kweli bwana mtu una mtu wako mna muda mrefu hamjakutana tuchukulie niezi kama 3 anakuja fast wakati katoa labda laki ya hotel safi akifika anaoga na kulala akitoka uko utaskia umekunywa wine yako mama,kisha anakwambia njoo,anatia kadude kake wala hata...
Mie naona wanawake ifikie wakati,tuwaheshimu wanaume mana kama unamkuta yuko kibamia unakuja kutangaza sioni kama inapendeza,mtazamo lakini,iwapo hajakuridhisha basi hachana nae tafta mwingine.sorry japo sjawai kutana na mwanaume wa jf,na sina mpango .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.