Nilifunga ndoa ya kiserikali na mke wangu miaka 7 iliyopita na tulipata watoto2 ingawa baada ya miaka miwili tulitofautiana tukatengana(sio kisheria) bahati mbaya mke wangu alifariki miaka 2 iliyopita akiwa sehemu alikokuwa anfanyia kazi na ndie aliekuwa anakaaa na cheti cha ndoa ,kwakuwa...
Sio vibaya kulinganisha vitu vya ndani na vinavyotoka nje ya nchi,lakini pia uwezi kulazimisha mtu apende vitu kutoka ndani atakama ni vibovu eti ni kwakuwa ni vyatanzania,njia mojawapo ya kuondoa ili tatizo nikuwana vitu vizuri na madhubuti kwani hapo ndo tunaweza kujisikia vizuri kupenda vitu...
mkonowapaka upaswi kutoa hukumu kwa mdogo wako,lazima ujilidhishe kama kweli huyu nimsemae ndio mke wako kweli,vinginevyo utakuwa unadandia karandinga la polisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.