Recent content by Bipolar

  1. Bipolar

    Naomba mnipe faida za kuoa

    Ndoa ina makusudi mawili; 1. Msaada na ustawi wa mwingine 2. Uzazi
  2. Bipolar

    Ndugu yangu anafanya na kuongea mambo ambayo hayaeleweki

    Huyo atakuwa mgonjwa wa akili na atakuwa anasumbuliwa na ugonjwa ambao kwa kitaalamu unaitwa "Schizophrenia ". Mpeleke hospitali kama Mirembe, Dodoma au Kigoma kuna kituo cha Brothers of Charity (wakatoliki) kiitwacho Kasaka mental health center. Atasaidiwa huko vizuri kuliko hospitali za...
  3. Bipolar

    David Kafulila na Hujuma Kwa Serikali Ya Awamu ya Tano

    David Kafulila ni mbunifu, mchapa kazi, mwadilifu na anayetumia hekima katika maamuzi yake. Acheni majungu na wivu. He is one of the best performing Regional Commissioners. Mti wenye matunda lazima urushiwe mawe.
  4. Bipolar

    Nani wapo nyuma ya Polepole? CCM wanamlinda?

    Punguza ukabila. Jina lako na fikra zako tu zinaonyesha wewe ni kundi lile la kanda ya ziwa. Hizi fikra zimeletwa na Magufuli, za kutaka kutugawa Watanzania. Mshindwe na nguvu zenu za kiza na mawazo finyu.
  5. Bipolar

    Usiku wa jana nilitoka room bila kujijua

    Uko sahihi...ni aina ya sleep disorder hakuna uchawi hapo
  6. Bipolar

    Jengo la ghorofa 5 laporomoka leo Kiambu

    Jengo lingine la ghorofa 5 laporomoka huko Kiambu. Majirani poleni na muongeze juhudi kusimamia ubora wa majengo kuepusha vifo. Source: https://www.the-star.co.ke/news/2021-08-30-five-storey-building-collapses-in-gachie/
  7. Bipolar

    Utafiti: Msongo wa mawazo huweza kusababisha Mtu kuota mvi mapema

    Hata kupiga tungi sana inaleta mvi mapema
  8. Bipolar

    Tatizo la kushindwa kumuangalia mtu usoni mkiwa mnaongea

    Wakati mwingine hoja siyo kutokujiamini, bali sababu inaweza kuwa pia mila na desturi; ambapo kuangalia sana mtu usoni inaweza tafsiriwa kama ukosefu wa adabu.
  9. Bipolar

    Ubalozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Umulikwe

    Haiwezekani mtu ulipie visa, ubalozi ukosee (mfano Jina au tarehe)katika kuandika visa, halafu ukiwaambia warekebishe wanasema ulipie upya. Huo ni utapeli na haileti taswira nzuri kwa nchi. Kama ndiyo utaratibu wa Balozi zetu kulipisha watu mara mbili wakati kosa ni la ubalozi, mamlaka husika...
  10. Bipolar

    Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    mkuu ulifanikiwa kupata kitabu hiki? Kama bado nipe email address nikutumie
Back
Top Bottom