Wataalamu habari ya jioni!!
samahani naomba kufahamishwa kuhusu hili jambo.
nikipiga simu naandikiwa hivi: CONDITIONAL CALL FOWARDING ACTIVE. hii ina maana gani wakuu???
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninaomba kufahamu utaratibu wa kukabidhiana pikipiki kwa mkataba.
Nimenunua kapikipiki sasa nahitaji kumkabidhi bodaboda ni utaratibu upi wa kufuatwa lengo likiwa baada ya kurejesha kwa Muda kadhaa pikipiki inakuwa yakwake ahsanteni na karibu wajuzi wa mambo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.