Recent content by binti wa kirombo

  1. binti wa kirombo

    Ushawahi kuhisi upo single ndani ya ndoa?

    Hii ya kuwa na mtoto kabla yako inanitesa mimi sana...kuna wakati najuta ila dada yangu anaitia moyo ,napata ujasiri maisha yanasonga
  2. binti wa kirombo

    Najuta kuacha kazi

    Pole sana madam Mwenyezi Mungu akutie wepesi hela ya NSSF itoke unyanyuke tena, nakumbuka mama yangu aliwahi niambia usikubali kuacha kazi kwa kushawishiwa utateseka sana acha kazi kwa hiyari yako hutoteseka, huu usemi natembea nao kama sala ya baba yetu .
  3. binti wa kirombo

    Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya tatu

    Asante kwa elimu nzuri kwakweli imenisaidia mahali nilipokuwa nimepanga kila ikifika jioni kuna sauti za waduuu walikuwa wakiliia kwenye dirisha kila siku tena wanatoa sauti za kusumbua hata kulala huwezi unaamka na kuhangaika kulikagua dirisha lakini simwoni huyo mdudu nikakumbuka mada ya...
  4. binti wa kirombo

    Ugonjwa wa ajabu sana umempata mtoto

    usisahau kuleta feedback
  5. binti wa kirombo

    Ugonjwa wa ajabu sana umempata mtoto

    Pole sana Mkuu ,umetafuta na wataaalamu wa tiba mbadala imeshindikana?
  6. binti wa kirombo

    Nimekoma kukagua simu ya mume wangu

    Pole sana mamy hakika inahitaji ujasiri kupambana na mume mroho kama huyo.;;;;Rafiki yangu aliwahi kukutwa na kadhia kama hii alimtext mume wake kuwa" kila mtu achepuke kwa muda na wakati wake na arejee nyumbani kulea familia".
  7. binti wa kirombo

    Uliwezaje Kumwabia mchumba/mke mtarajiwa kuwa una mtoto wa ujanani

    Daah hili lilinikumba na mimi na sio mtoto tu alikuwa amewahi kuoa halafu wakatalikiana na hakuniambia ,penzi likanoga wee nikapata mimba nakumbuka ilikuwa siku ya jumamosi niko kwakwe yeye yupo kazin kwenye kukagua kabatini nikakutana na albamu ya picha moyo ulishtuka na sikumwambia hadi...
  8. binti wa kirombo

    Ndoa raha bwana ukipata ubavu wako

    Hongera Mkuu umenizidi mwaka mmoja tu mimi nimetimiza miaka kumi ya ndoa
  9. binti wa kirombo

    Je , ungependa kuwa na ndoa kama ya wazazi wako?

    Ndio ,natamani ingekuwa kama yao maana ndoa yao ilikuwa ya uwazi na ukweli,malezi mema yenye hofu ya Mungu naitamani ndoa yao kwakweli
  10. binti wa kirombo

    Nisaidieni, upendo unapungua kwa mume wangu

    wew Aisee ningemjibu nitakuua bure alale na msichana wa kazi labda mimi sio mmachame aisee hapa ulimvumilia kwa kweli adhabu yake ambayo ningempa angechanganyikiwa kwa kweli ....
  11. binti wa kirombo

    Nisaidieni, upendo unapungua kwa mume wangu

    Pole sana mamy,hakika kuna wanaume wana mioyo kama ya simba Mwenyezi Mungu akutie nguvu na ambadilishe moyo wake
  12. binti wa kirombo

    Msaada juu ya huu ugonjwa wa ngozi kwa mtoto

    Asante mkuu ,itabidi nifunge safari nije huko mwenge kuyatafuta.
  13. binti wa kirombo

    Msaada juu ya huu ugonjwa wa ngozi kwa mtoto

    Dawa za kienyeji za kweli ni za mikoani huku mjini siziamini sanaa wajanja wengi kila mtu atakuambia natoa tiba mbadala
  14. binti wa kirombo

    Msaada juu ya huu ugonjwa wa ngozi kwa mtoto

    Asante Kiongozi,ni kweli heri mtu mzima augue na sio mtoto ,mtoto anakupa mawazo jamani,
  15. binti wa kirombo

    Msaada juu ya huu ugonjwa wa ngozi kwa mtoto

    Ni kweli mkuu hadi niende mkoani sasa ,kwa hapa mjini dawa za kienyeji sio za kweli.
Back
Top Bottom