ww unalako jambo, acha generalization za ajabu ajabu hapa walimu wana ukimwi na wasichana ni makahaba ulikuwa nao kwny ukahaba? kama wazalendo tunatakiwa tutoe mawazo ya kusaidia sio kuwa na fikra za kupeleka watoto wetu nchi zingine, na hao wasiokuwa na uwezo wa kupeleka watoto wao nje...
unasema wanasaliti utamaduni, mila na desturi za taifa? utamaduni upi wanaousaliti? utamaduni wa kukaa kimya na kuwaacha wachache waenjoy hii nchi wakati Watanzania wanaumia na maisha magumu?
that's unfair ulikuwepo wakati anazitoa? au ulimtoa ww? au ulimsindikiza kuzitoa mpaka ukajua idadi hiyo? thread inaongelea mambo mengine kabisa ya kumsaidia mwenzetu ww unakuja na issue cjui za wapi inahuuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.