Recent content by Binti Kadogoo

  1. Binti Kadogoo

    Leave Jesus alone!

    JAMANI ACHENI PANIC kazi nyingi mnapata mlango wa nyuma (huenda ikawa na tiGo)
  2. Binti Kadogoo

    Wajumbe wawili wa Bunge la Katiba watumia jina moja, haijulikani nani alipaswa kuwa Dodoma

    Naona hata Chama chake kimemshurutisha kuwa wewe nenda tu, Rais amekuona to manka CHEZA KILIMANJARO
  3. Binti Kadogoo

    Weka tukio la kutapeliwa lililokuta wewe/rafiki ili tusaidie jamii

    Shoga yangu yamemkuta na ninawalaumu wafanyakazi wa Tigo kwani Wizi huu umetokea juzi tarehe 18/ February /2014 Nawatahadharisha na wengine msiiamini Tigo au hizi Money Pesa kwani imesababisha Msiba juu ya Msiba kwa jirani yetu hapa Tanga ambaye ni Mwl Horohor 0714-3535** kwao Ukerewe. Wao...
  4. Binti Kadogoo

    Mwenyekiti CHADEMA Temeke adai alitekwa na mwanaCHADEMA mwenzake, CHADEMA yataka Polisi ichunguze

    Kw uongo sasa CHADEMA mmezidi Mkiti Yona kazungumza Live akbisa fungua link hiyo hapo chini na ya Kova Thread yake im humuhumu https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/582402-kamanda-kova-mwanachadema-mmoja-alihusika-kumteka-bwana-yona.html Unyama: Mwenyekiti wa CHADEMA Temeke ambaye chama...
  5. Binti Kadogoo

    Zitto ashinda pingamizi dhidi ya CHADEMA, sasa Baraza Kuu kuamua uanachama wake

    Swadakta leo wameumbuka wengiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
  6. Binti Kadogoo

    Chadema!!hapana lazima wote waende wote ni wasaliti........

    matusi ya nini sasa mkiambiwa ni watoto wakabila wadini wabaguzi Hamtaki sasa Zitto kashinda mtaula wa Chuya anzeni kujichumguza maana hapo hakuna list ya kuinngia Ikulu hata mmoja
  7. Binti Kadogoo

    Kutoka Mahakamani: Hukumu ya kesi ya Zitto dhidi ya CHADEMA!

    Pole sana Nyerere, mm LEO NINA FURAHA MPAKA KUMTIMA WEWE NIAMBIE NIKUSUBIRI WAPI??? HAKI SASA INATENDEKA MARA NYINGI MSIJISAHAU MSUMENO HUKATA KOTEKOTE kwa Lema na Mnyika ilikuwa sawa lkn ZZK MMENYONGA MARA ZOTE mmnamnanga poleni
  8. Binti Kadogoo

    Leo hamna cha simu wala ipad ndani ya court -- Zitto anaelekea kushinda

    Kama ni Zitto yeye atarukia tawi lingine mpaka mti wote ulale chini La sivyo wampishe kileleni naye awe mwenyekiti na agombee Urais Kwa nini Baraza la Wazee kipindi kile walimdanganya kwamba hajakua????
  9. Binti Kadogoo

    Mmoja kati ya mashabiki apasuliwa jicho kwenye vurugu Mahakamani.

    Ugomvi wa Zitto na Mbowe CCM kaingiaje Tusubiri ya Mahakamani Zitto akishinda utasikia kz ya Magamba Ila akishinda utaambiwa wameiau na CCM humohumo
  10. Binti Kadogoo

    Picha 15 za matukio ya kusisimua ya wanyama mwaka 2013

    halafu zote nzuri!!!! maana wote ni ktk starehe za dunia baada ya uchovu
  11. Binti Kadogoo

    Nyumba inauzwa Brbr ya 12 Dodoma

    Bado Mji huo kuitwa Jiji au viwanja kufikia bei ya Kariakoo Punguzeni bei tuwaletee wateja nyumba hiyo ni ya tope hapo ni kiwanja kweli wala sio jengo
  12. Binti Kadogoo

    MENEJA WA MeTL IRINGA AKWAPUA MAMILIONI… Matunda ya kutokuwa na Uzalendo???

    Du mbona na mm nitampa akitakacho Maana Waarabu mpaka Roho inasita, najua ataniongeza tu ntakachomgea 35M nini Bwana na wala simtaji kumbe kakomba nyingi
  13. Binti Kadogoo

    Nauza magari haya

    Lazima tushtuane kwa nini tuibiane wakati Matangazo yapo kila mahali hata juu kabisa Shosti naoana unazungumzia magari ya Be Forward k sikosei ndio ya Japanese Used Car Msinishobokee na mm ila nachotaka kuwaeleza kuwa magari sasa yameshuka thamani. Link zao hizi hapa...
  14. Binti Kadogoo

    MENEJA WA MeTL IRINGA AKWAPUA MAMILIONI… Matunda ya kutokuwa na Uzalendo???

    Kwani kachukua shilingi ngapi? Mimi nilikutana naye asubuhi hana kitu. Poleni ntamtafuta tena maana Waarabu leoleo ataanza kunywa km ni 30m Tehteh poleni ni Jokes tu
  15. Binti Kadogoo

    Habiba Umeniponza...

    e sana Kaka Mentor kwa nini ulizamisha yote na kuiloweka? ndio madhara ya kilaji. wenzako huwa tunataka ukamuaji wa Jogoo na kuku unakamuliwa juujuu hujatua ukiona mwenzako anailoweka basi ni Gono na ombea angekuchubua usingekuwepo Shukuru Mola na usirudie tena Mtafute Diana km hajaolewa mrudiane
Back
Top Bottom