Unaomba kazi ukiwa na vyeti vyote,umefaulu vizuri,Una-Qualify kabisa kupata hiyo kazi,Baada ya Interview Bosi mmoja anakufuata anakwambia Kazi Uliyoomba unaweza kuipata ila umechemka maswali ya Usaili,Ukitaka nikusaidie uipate tukutane NAMNANI HOTEL ROOM 304 kesho jioni.
Ulivyo Bolizozo na Kichwa Panzi Ukaenda ukachanua ukamegwa ,Ukasaini mkataba...UnakujaFacebook na JF unatuandikia,'YESU ASANTE WEWE UNAISHI,MUNGU WA IBRAHIM ISAKA NA YAKOBO,ASANTE MAANA WEWE NI BWANA,UMENIPA KAZI.WEWE NI EBENEZAUnamdanganya nani?
Yesu ndo alikushauri ukamegwe na bosi upewe kazi?
We andika tu ukweli,KAZI DAR NGUMU SANA ILA MWILI UNASAIDIA.Usitufanye sisi watoto wadogo eboo!Degree haijakupa kazi hapo huna tofauti na changu wa Corner Bar.
Shikamooni Rasilimali-Kiuno wote.
Leave Jesus Alone.
Jamani tu-refresh mind zetu sio kila siku kulia lia tu tokomeza
TEAMkuliakulia
Nimeicopy wajameni