Recent content by binti A

  1. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini wadada Tanga huwa ni wakarimu sana na wenye maneno laini kwa mwanaume?

    Utaratibu wa salamu ya tanga sukupiga goti, bali ni kutoa mkono na kuubusu.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini wadada Tanga huwa ni wakarimu sana na wenye maneno laini kwa mwanaume?

    Hawana tabia za uchunaji kabisa
  3. B

    JamiiForums Tanzania Msaada: Inawezekana nina matatizo makubwa katika mahusiano

    Pole sana, kunakitu kilikuumiza na bado unacho moyoni, achilia moyo na futa yale mabaya uliyotendewa kichwani mwako, muombe Mungu akuondoshee hiyo roho.
  4. B

    JamiiForums Tanzania Una kipawa gani?

    Kuchora, ushawishi
  5. B

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu yamenikuta naomba mnisaidie

    Achana nae huyo anataka misaada midogomidogo tu kwako, anaye ampendae. Njoo kwangu .
  6. B

    JamiiForums Tanzania Nywele kwapani, huu ni usafi au uchafu?

    Mh mimi huwa nasikia kichefu chefu kabisa mtu akiwa na minywele kwapani.
  7. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta future busness partners (age:19-27)

    Punguza masharti.
  8. B

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Kuna mapenzi ya kweli kwa huyu mwanamke?

    Mwanamke anayekupenda kweli hakuombi pesa hata ukimpa Kwa hiyari yako atakushauri mfanyie mambo ya maana, huyo hana hata chembe ya upendo kwako. Fanya maamuzi ya kiume.
  9. B

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Mama mzazi wa Mshana Jr amefariki dunia

    Pole sana mfiwa
  10. B

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya ku-highlight sentensi au maneno kwa rangi humu JamiiForums

    Kama hivi(/red)
  11. B

    JamiiForums Tanzania Kwa hili Rais anastahili pongezi,Si jambo jepesi hata..

    Haya baada ya kiwanda cha bashite kimekuja cha Nape, sasa ni cha Ney, sijui kinafuata cha nani?
  12. B

    JamiiForums Tanzania Nilipata mpenzi, kumbe mke wa mtu. Alinidanganya mumewe alifariki kumbe yupo hai

    Una uhakika gani ni chako?
Back
Top Bottom