KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,816
Ninachoamini ukiwa karibu na watu wenye Changamoto,naamini na wewe utapata changamoto na kujijenga ubaadae wako ila ukikaa kwa wapenda starehe nawe utapenda starehe sana
Sina chochote cha kujivunia by now but i hop baadae kuwa the richest in Tanzania if God wishes, binafsi nina miaka 24
Conditions
1 uwe na upeo wa kufikiri vizuri
2 uwe na mipango ambayo ushaanza kuifanyia kazi
3 uwe active member wa jf na awe anacomments zisizopungua mia
4 uwe settled na usiwe ombaomba, maana the thing ni kujiendeleza sio kusaidiana kuishi
5 itakuwa cool kama umetembea miji mingi apa bongo au nje
Note: siangalii uzuri na ingekuwa cool kama kukiwa na wanawake pia
Sina chochote cha kujivunia by now but i hop baadae kuwa the richest in Tanzania if God wishes, binafsi nina miaka 24
Conditions
1 uwe na upeo wa kufikiri vizuri
2 uwe na mipango ambayo ushaanza kuifanyia kazi
3 uwe active member wa jf na awe anacomments zisizopungua mia
4 uwe settled na usiwe ombaomba, maana the thing ni kujiendeleza sio kusaidiana kuishi
5 itakuwa cool kama umetembea miji mingi apa bongo au nje
Note: siangalii uzuri na ingekuwa cool kama kukiwa na wanawake pia