habari waungwana
naomba msaada kwa kwenye shirika au ofisi yoyote yenye uhitaji wa muhasibu anisaidie nipate kazi au nijitolee, Nimemaliza diploma ya uhasibu mwaka huu 2016 TIA dar . plz PM or email yangu mchapakazisana@gmail.com.
habar wadau
natafuta kazi ya graphic design ninauzoefu wa mwaka mmoja pia nnazo sample za design mbalimbali nilizaofanya. tafadhal kwa yeyote mwenye kuitaji ama kampuni inayohitaji naomba tuwasiliane kupitia email hapo chini
mchapakazisana@gmail.com
Me naona hamna tatizo kumsaidia ndugu yako n ukiangalia malez waliyolelewa utakuta walikuwa wanapendana na kusaidiana toka utoton mwao so cshangaiiiiiii
Majungu sio mazur jaman wale wote mnaosema natafuta kusomeshwa cjui kuchuna muwe mnawaza mara2 2 kabla ya kuropoka me cna njaa kama mnavyofkiria ndo maana nkasema mwanzo km huna nia pita mbaliii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.