Natafuta mchumba (male) muislam

Natafuta mchumba (male) muislam

Chonga wako mwenyewe, wenye sifa hizo tayari tumetekwa kwingine labda ukubali kuwa kamchepuko
 
Weka picha kwanza,maelezo ya maneno hayatoshi.Mi sifa zote nnazo ikiwemo ya mapenzi ya kweli ambayo umeisahau.
Nitumie picha p.m nithaminishe quality nsije nkajikuta nmeangukia kwenye sura ya bamdogo
 
Hebu maliza kwanza chuo, "Ngoswe" mapenzi Kitovu cha Uzembe"
 
weka namba hapa bhana..... watu tufukunyue mawasapu na matext yakutosha pm is boring
 
Jaman me ctanii wala ctak kuznguana nimesema ambaye yupo serous km haupo serous naomba upite mbali
 
Habar ndugu zangu!

Kichwa cha habari hapo juu chahusika, mimi ni bint wa miaka 21yrs nipo dar,
ni mwanachuo wa mwaka wa2,
sio mrefu sana wala co mfup pia mwembamba, rangi maji ya kunde

sifa za nimtafutae
miaka 23-27
awe mfanyakazi au mfanyabiashara
awe mkazi wa dar
mkweli, mkarimu na anaejali,
lazma we muislam mwenye hofu na mungu
mpenda maendeleo

NB:kwa aliye na nia tu ani PM
matus sihitaj tafadhal.
Thanx.

mpaka hapa naamini umepata pm zakutosha lakn ktk pm zote hizo wote mabazazi watakugaragaza paka iote sugu
 
Bint mkwel Ni pm right now kabla Magufuli hajaapishwa! Maana ile kauli mbiu yake ya hapa kazi tu nadhani sitakuwa na mda free tena
 
Last edited by a moderator:
Jaman me ctanii wala ctak kuznguana nimesema ambaye yupo serous km haupo serous naomba upite mbali

Ongeza ongeza nyama nyama kwanza at least kamkia kachomoze... Utatafutwa ww wala hutosumbuka kutafuta.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom