Huyo ni Mtanzania na asili ya kukosoa kila kitu.
Zilijengwa barabara za line mbili, leo unaambiwa hazee hawakuona mbali ona leo wanabomoa. Hospital, mashule, system za maji, magorofa mafupi nk yote hayo kizazi hiki kinayaponda. Kikitengenezwa kikubwa nacho kinapondwa. Sijui Mtz anataka nn zaidi...