Tahadhari kwa vyombo vya dola, ACT - Wazalendo hii siyo sawa na CHADEMA

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Naziona dalili za ngangari na ngunguri kurudi upya, 'combination' ya Zitto na Maalimu Seif siyo ya kupuuzwa, wako tofauti kabisa na safu ya Chadema ya kina Mbowe na Mashinji ambao wako too diplomatic, ukiwapiga kofi la kushoto wanakugeuzia na la kulia wanasema Mungu atalipa. Sioni hilo likitokea kwa Zitto na Maalimu.

Hii 'combination' ingawa ni hatari lkn ndiyo sahihi kwa awamu hii, itafit vizuri kwa style ya siasa za mabavu, siasa za kutishana, siasa za fitina,[Zitto Kabwe: Wameanza chokochoko watakachokipata hawatajua kimetokea wapi.], binafsi naona kama huu muungano umechelewa sana kuja.

Hulka ya Zitto (Ha) ni ya kutokubali kushindwa, ubishi, vile vile hulka ya Maalimu Seif (Pemba) ni ya kujiamini ni watu wenye msimamo, hawayumbishwi, hawa watu wakiwa pamoja ni hatari zaidi, wakiona wanaelekea kushindwa hasa kwa kuonewa wanaweza kutumia njia 'zozote' nzuri au mbaya, ndani au nje ya Tanzania almradi wapate wanachokitaka.

Sioni tena Zitto na Maalimu Seif wakiporwa ushindi watakaoupata 2020 Zanzibar, watautafuta 'by hooks and crooks', na huenda Tanzania ikazalisha tena wakimbizi kama ilivyokuwa 2001. Kwa umri wake Maalimu Seif has nothing to lose ukizingatia huenda ukawa ndio uchaguzi wake wa mwisho kama mgombea, na Zitto naye atakuwa anataka kujenga jina.

Tusiombe kufika huko, ndiyo maana nimetahadharisha mapema vyombo vya dola polisi, mahakama, NEC na viongozi kutumia busara, kuhakikisha haki inatendeka na usawa kwa vyama vyote bila upendeleo. Pasipo vyombo vya dola kutenda haki naiona Tanzania ikiingia kwenye rekodi za dunia.

Haya ni maono yangu.

Mchambuzi wa siasa za Tanzania, Quinine.
 
Hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha
kama haya yamefika mwisho wala hata Zitto na Maalim Seif wasingekuwepo basi yangefikia mwisho kwa namna nyingine

Ni swala la Muda tu ...Ujio wa Tundu Lissu tu pekee unaweza ukageuza hali ya hewa ya nchi hii vibaya mno kama hawa wenye mamlaka na viburi vya uzima waki miscalculate moves zao .


Hivyo wakati ukifika hakuna wa kuzuia chochote
Japo siku hiyo ikifika naomba sana nisiwe hai kushuhudia hayo yatakuwa ya kuogofya.







Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa. za upinzani ni raha sana!

Wakati Zitto yuko CHADEMA ya Dkt. Slaa huku viongozi wa CHADEMA wakipigwa mabomu na kuwekwa ndani tuliwasikia baadhi yenu mkudai kwa nini Zitto hajawahi kwenda kwenye maandamano ili naye akaonje adha ya kupigwa mabomu. Kwa nini Zitto hajawahi hata kukamatwa kama viongozi wengine wa upinzani?

Leo hii eti Zitto amekuwa ni hatari kwa serikali!

Maalim Seif huyu ambaye juzi wakati akipokea kadi ya ACT-Wazalendo aliwaambia wafuasi wake kuwa wasitumie mabavu katika kudai haki zaio kwa sababu wakifanya hivyo hawawezi hata kumaliza siku mbili. Eti leo hii unasema akiporwa ushindi anatumia ngangari.

Kosa alilofanya Maalim Seif mwaka 2015 la kukataa kuwa sehemu ya serikali ya umoja wa kitaifa hawezi kurudia tena. Nakuhakikishia hata akiporwa kura zake mwaka 2020 atakubali tu kama chama chake kitakuwa mshindi wa pili kwa wingi wa kura ili tu awe Waziri kiongozi wa SMZ.

Kumbuka mtu unapozeeka unakuwa na uoga mkubwa katika kuchukua risk za kimaisha. Maalim Seif wa sasa sio yule aliyeanzisha ngangari miaka ya 90's. Maalim Seif wa sasa ana hekima na busara katika kuyaendea maisha yake binafsi naya kisiasa.

Hofu yako niya upepo tu kama tufe!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Siasa. za upinzani ni raha sana!

Wakati Zitto yuko CHADEMA ya Dkt. Slaa huku viongozi wa CHADEMA wakipigwa mabomu na kuwekwa ndani tuliwasikia baadhi yenu mkudai kwa nini Zitto hajawahi kwenda kwenye maandamano ili naye akaonje adha ya kupigwa mabomu. Kwa nini Zitto hajawahi hata kukamatwa kama viongozi wengine wa upinzani?

Leo hii eti Zitto amekuwa ni hatari kwa serikali!

Maalim Seif huyu ambaye juzi wakati akipokea kadi ya ACT-Wazalendo aliwaambia wafuasi wake kuwa wasitumie mabavu katika kudai haki zaio kwa sababu wakifanya hivyo hawawezi hata kumaliza siku mbili. Eti leo hii unasema akiporwa ushindi anatumia ngangari.

Kosa alilofanya Maalim Seif mwaka 2015 la kukataa kuwa sehemu ya serikali ya umoja wa kitaifa hawezi kurudia tena. Nakuhakikishia hata akiporwa kura zake mwaka 2020 atakubali tu kama chama chake kitakuwa mshindi wa pili kwa wingi wa kura ili tu awe Waziri kiongozi wa SMZ.

Kumbuka mtu unapozeeka unakuwa na uoga mkubwa katika kuchukua risk za kimaisha. Maalim Seif wa sasa sio yule aliyeanzisha ngangari miaka ya 90's. Maalim Seif wa sasa ana hekima na busara katika kuyaendea maisha yake binafsi naya kisiasa.

Hofu yako niya upepo tu kama tufe!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mara nyingi sana huwa napenda kutumia maneno haya 'politics is not static is dynamic', siasa hubadilika kulingana na nyakati na mazingira usikariri, Zitto wa Chadema siyo Zitto wa leo.
Kabudi na Polepole wa BMK sio tunaowasikia Leo.

Inawezekana Zitto ni mamluki lkn anasehemu yake ya kuwasaidi wananchi wanaodhulumiwa haki kama mtanzania.

Ulitegemea Maalimu awaambie wafuasi wake hadharani kuwa wakadai haki yao kwa vurugu haiwezekani.

lkn nakwambia safari hii kama atadhulumiwa ushindi wake serikali ijiandae kuzalisha wakimbizi.
 
Siasa. za upinzani ni raha sana!

Wakati Zitto yuko CHADEMA ya Dkt. Slaa huku viongozi wa CHADEMA wakipigwa mabomu na kuwekwa ndani tuliwasikia baadhi yenu mkudai kwa nini Zitto hajawahi kwenda kwenye maandamano ili naye akaonje adha ya kupigwa mabomu. Kwa nini Zitto hajawahi hata kukamatwa kama viongozi wengine wa upinzani?

Leo hii eti Zitto amekuwa ni hatari kwa serikali!

Maalim Seif huyu ambaye juzi wakati akipokea kadi ya ACT-Wazalendo aliwaambia wafuasi wake kuwa wasitumie mabavu katika kudai haki zaio kwa sababu wakifanya hivyo hawawezi hata kumaliza siku mbili. Eti leo hii unasema akiporwa ushindi anatumia ngangari.

Kosa alilofanya Maalim Seif mwaka 2015 la kukataa kuwa sehemu ya serikali ya umoja wa kitaifa hawezi kurudia tena. Nakuhakikishia hata akiporwa kura zake mwaka 2020 atakubali tu kama chama chake kitakuwa mshindi wa pili kwa wingi wa kura ili tu awe Waziri kiongozi wa SMZ.

Kumbuka mtu unapozeeka unakuwa na uoga mkubwa katika kuchukua risk za kimaisha. Maalim Seif wa sasa sio yule aliyeanzisha ngangari miaka ya 90's. Maalim Seif wa sasa ana hekima na busara katika kuyaendea maisha yake binafsi naya kisiasa.

Hofu yako niya upepo tu kama tufe!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwaiyo kwa upande wako unaona ni sawa na haki kwa vyombo cha dola vinapopewa amri na manyang'au serikali ya CCM kukandamiza na kuwanyanyasa wapinzani sio??
Pumbavu la Lumumba wewe.
 
Hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha
kama haya yamefika mwisho wala hata Zitto na Maalim Seif wasingekuwepo basi yangefikia mwisho kwa namna nyingine

Ni swala la Muda tu ...Ujio wa Tundu Lissu tu pekee unaweza ukageuza hali ya hewa ya nchi hii vibaya mno kama hawa wenye mamlaka na viburi vya uzima waki miscalculate moves zao .


Hivyo wakati ukifika hakuna wa kuzuia chochote
Japo siku hiyo ikifika naomba sana nisiwe hai kushuhudia hayo yatakuwa ya kuogofya.







Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli wakti na nyakati Mbay sana zinakuja, kama.wanadhni Bunduki na Mabomu yanaweza kuwakinga wenye viburi vya uzima wafikirie upya kwa nini Mizinga na siraha kali zieshindwa kutuliza Yemeni, Syria, DRC, SOMALIA, SUDAN, RCA, na kwingineko.
 
Naziona dalili za ngangari na ngunguri kurudi upya, 'combination' ya Zitto na Maalimu Seif siyo ya kupuuzwa, wako tofauti kabisa na safu ya Chadema ya kina Mbowe na Mashinji ambao wako too diplomatic, ukiwapiga kofi la kushoto wanakugeuzia na la kulia wanasema Mungu atalipa. Sioni hilo likitokea kwa Zitto na Maalimu.

Hii 'combination' ingawa ni hatari lkn ndiyo sahihi kwa awamu hii, itafit vizuri kwa style ya siasa za mabavu, siasa za kutishana, siasa za fitina,[Zitto Kabwe: Wameanza chokochoko watakachokipata hawatajua kimetokea wapi.], binafsi naona kama huu muungano umechelewa sana kuja.

Hulka ya Zitto (Ha) ni ya kutokubali kushindwa, ubishi, vile vile hulka ya Maalimu Seif (Pemba) ni ya kujiamini ni watu wenye msimamo, hawayumbishwi, hawa watu wakiwa pamoja ni hatari zaidi, wakiona wanaelekea kushindwa hasa kwa kuonewa wanaweza kutumia njia 'zozote' nzuri au mbaya, ndani au nje ya Tanzania almradi wapate wanachokitaka.

Sioni tena Zitto na Maalimu Seif wakiporwa ushindi watakaoupata 2020 Zanzibar, watautafuta 'by hooks and crooks', na huenda Tanzania ikazalisha tena wakimbizi kama ilivyokuwa 2001. Kwa umri wake Maalimu Seif has nothing to lose ukizingatia huenda ukawa ndio uchaguzi wake wa mwisho kama mgombea, na Zitto naye atakuwa anataka kujenga jina.

Tusiombe kufika huko, ndiyo maana nimetahadharisha mapema vyombo vya dola na viongozi kutumia busara, kutenda haki na usawa kwa vyama vyote bila upendeleo. Pasipo vyombo vya dola kutenda haki naiona Tanzania ikiingia kwenye rekodi za dunia.

Haya ni maono yangu.

Mchambuzi wa siasa za Tanzania, Quinine.
Ilikuwa ni lazima huyu Dikteta akutane na watu jasiri kuliko alivyokuwa akidhani.
Nauona mwisho mbaya wa Magufuli Ktk uongozi wake, hana siasa ya Demokrasia wala Diplomasia, kwake nguvu ndo suluhisho, sasa atakutana na kundi la Vijana waliokata tamaa, kwao kifo ndo option, they have nothing to loose.
Wamekata tamaa ya maisha baada ya kuteseka Kwa miaka mingi bila ajira wala mitaji ya kujiajiri.
Wataingia mitaani, yeye hajaribiwi, atatuma jeshi ili kuwafyeka kwake hiyo ndo busara, ataua wengi.
At the end kutakuwa na international intervention, Damu za watu ni laana mbaya sana, atajikuta anaangukia The Hague na CCM kutoweka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa. za upinzani ni raha sana!

Wakati Zitto yuko CHADEMA ya Dkt. Slaa huku viongozi wa CHADEMA wakipigwa mabomu na kuwekwa ndani tuliwasikia baadhi yenu mkudai kwa nini Zitto hajawahi kwenda kwenye maandamano ili naye akaonje adha ya kupigwa mabomu. Kwa nini Zitto hajawahi hata kukamatwa kama viongozi wengine wa upinzani?

Leo hii eti Zitto amekuwa ni hatari kwa serikali!

Maalim Seif huyu ambaye juzi wakati akipokea kadi ya ACT-Wazalendo aliwaambia wafuasi wake kuwa wasitumie mabavu katika kudai haki zaio kwa sababu wakifanya hivyo hawawezi hata kumaliza siku mbili. Eti leo hii unasema akiporwa ushindi anatumia ngangari.

Kosa alilofanya Maalim Seif mwaka 2015 la kukataa kuwa sehemu ya serikali ya umoja wa kitaifa hawezi kurudia tena. Nakuhakikishia hata akiporwa kura zake mwaka 2020 atakubali tu kama chama chake kitakuwa mshindi wa pili kwa wingi wa kura ili tu awe Waziri kiongozi wa SMZ.

Kumbuka mtu unapozeeka unakuwa na uoga mkubwa katika kuchukua risk za kimaisha. Maalim Seif wa sasa sio yule aliyeanzisha ngangari miaka ya 90's. Maalim Seif wa sasa ana hekima na busara katika kuyaendea maisha yake binafsi naya kisiasa.

Hofu yako niya upepo tu kama tufe!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mpumbavu Kama wewe hudhania kuwa kila siku ni Kama jana, hawazi wala kufikiri kuwa ilivyokuwa jana sivyo itakavyokuwa leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara nyingi sana huwa napenda kutumia maneno haya 'politics is not static is dynamic', siasa hubadilika kulingana na nyakati na mazingira usikariri, Zitto wa Chadema siyo Zitto wa leo. Inawezekana Zitto ni mamluki lkn anasehemu yake ya kuwasaidi wananchi wanaodhulumiwa haki kama mtanzania.

Ulitegemea Maalimu awaambie wafuasi wake hadharani kuwa wakadai haki yao kwa vurugu haiwezekani.

lkn nakwambia safari hii kama atadhulumiwa ushindi wake serikali ijiandae kuzalisha wakimbizi.

Iwe ni Kudhulumiwa, au kushindwa kwa haki lakini kamwe hataweza pewa kuwa rais wa Zenji. Asahau hiyo kitu na hilo analijua fika. Wote wanasukuma maisha tu.
 
Siasa. za upinzani ni raha sana!

Wakati Zitto yuko CHADEMA ya Dkt. Slaa huku viongozi wa CHADEMA wakipigwa mabomu na kuwekwa ndani tuliwasikia baadhi yenu mkudai kwa nini Zitto hajawahi kwenda kwenye maandamano ili naye akaonje adha ya kupigwa mabomu. Kwa nini Zitto hajawahi hata kukamatwa kama viongozi wengine wa upinzani?

Leo hii eti Zitto amekuwa ni hatari kwa serikali!

Maalim Seif huyu ambaye juzi wakati akipokea kadi ya ACT-Wazalendo aliwaambia wafuasi wake kuwa wasitumie mabavu katika kudai haki zaio kwa sababu wakifanya hivyo hawawezi hata kumaliza siku mbili. Eti leo hii unasema akiporwa ushindi anatumia ngangari.

Kosa alilofanya Maalim Seif mwaka 2015 la kukataa kuwa sehemu ya serikali ya umoja wa kitaifa hawezi kurudia tena. Nakuhakikishia hata akiporwa kura zake mwaka 2020 atakubali tu kama chama chake kitakuwa mshindi wa pili kwa wingi wa kura ili tu awe Waziri kiongozi wa SMZ.

Kumbuka mtu unapozeeka unakuwa na uoga mkubwa katika kuchukua risk za kimaisha. Maalim Seif wa sasa sio yule aliyeanzisha ngangari miaka ya 90's. Maalim Seif wa sasa ana hekima na busara katika kuyaendea maisha yake binafsi naya kisiasa.

Hofu yako niya upepo tu kama tufe!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Jidanganye Kwa kufuata historia ndani ya siasa, unajidanganya.
Msimamo wa juzi sio wa Leo, hata Magu aliyosema two years back kuhusu mafisadi ungetegemea Leo angampigia magoti Rostam?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naziona dalili za ngangari na ngunguri kurudi upya, 'combination' ya Zitto na Maalimu Seif siyo ya kupuuzwa, wako tofauti kabisa na safu ya Chadema ya kina Mbowe na Mashinji ambao wako too diplomatic, ukiwapiga kofi la kushoto wanakugeuzia na la kulia wanasema Mungu atalipa. Sioni hilo likitokea kwa Zitto na Maalimu.

Hii 'combination' ingawa ni hatari lkn ndiyo sahihi kwa awamu hii, itafit vizuri kwa style ya siasa za mabavu, siasa za kutishana, siasa za fitina,[Zitto Kabwe: Wameanza chokochoko watakachokipata hawatajua kimetokea wapi.], binafsi naona kama huu muungano umechelewa sana kuja.

Hulka ya Zitto (Ha) ni ya kutokubali kushindwa, ubishi, vile vile hulka ya Maalimu Seif (Pemba) ni ya kujiamini ni watu wenye msimamo, hawayumbishwi, hawa watu wakiwa pamoja ni hatari zaidi, wakiona wanaelekea kushindwa hasa kwa kuonewa wanaweza kutumia njia 'zozote' nzuri au mbaya, ndani au nje ya Tanzania almradi wapate wanachokitaka.

Sioni tena Zitto na Maalimu Seif wakiporwa ushindi watakaoupata 2020 Zanzibar, watautafuta 'by hooks and crooks', na huenda Tanzania ikazalisha tena wakimbizi kama ilivyokuwa 2001. Kwa umri wake Maalimu Seif has nothing to lose ukizingatia huenda ukawa ndio uchaguzi wake wa mwisho kama mgombea, na Zitto naye atakuwa anataka kujenga jina.

Tusiombe kufika huko, ndiyo maana nimetahadharisha mapema vyombo vya dola polisi, mahakama, NEC na viongozi kutumia busara, kuhakikisha haki inatendeka na usawa kwa vyama vyote bila upendeleo. Pasipo vyombo vya dola kutenda haki naiona Tanzania ikiingia kwenye rekodi za dunia.

Haya ni maono yangu.

Mchambuzi wa siasa za Tanzania, Quinine.
Zitto bado hajafinywa sawa sawa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iwe ni Kudhulumiwa, au kushindwa kwa haki lakini kamwe hataweza pewa kuwa rais wa Zenji. Asahau hiyo kitu na hilo analijua fika. Wote wanasukuma maisha tu.
Siyo kwa Seif angekuwa mtu wa kukata tamaa angeshastaafu siasa muda mrefu, am telling you this time kitanuka, hii combination siyo ya mchezo.
 
Kinachoendelea ni biashara ya siasa unauza maneno unakula pesa,zito kasajili kama simba chadema wanadoda kama yanga. Haya wafata upepo bila kufaidika chochote kazi kwenu wale janja janja kuleni faida
 
Naziona dalili za ngangari na ngunguri kurudi upya, 'combination' ya Zitto na Maalimu Seif siyo ya kupuuzwa, wako tofauti kabisa na safu ya Chadema ya kina Mbowe na Mashinji ambao wako too diplomatic, ukiwapiga kofi la kushoto wanakugeuzia na la kulia wanasema Mungu atalipa. Sioni hilo likitokea kwa Zitto na Maalimu.

Hii 'combination' ingawa ni hatari lkn ndiyo sahihi kwa awamu hii, itafit vizuri kwa style ya siasa za mabavu, siasa za kutishana, siasa za fitina,[Zitto Kabwe: Wameanza chokochoko watakachokipata hawatajua kimetokea wapi.], binafsi naona kama huu muungano umechelewa sana kuja.

Hulka ya Zitto (Ha) ni ya kutokubali kushindwa, ubishi, vile vile hulka ya Maalimu Seif (Pemba) ni ya kujiamini ni watu wenye msimamo, hawayumbishwi, hawa watu wakiwa pamoja ni hatari zaidi, wakiona wanaelekea kushindwa hasa kwa kuonewa wanaweza kutumia njia 'zozote' nzuri au mbaya, ndani au nje ya Tanzania almradi wapate wanachokitaka.

Sioni tena Zitto na Maalimu Seif wakiporwa ushindi watakaoupata 2020 Zanzibar, watautafuta 'by hooks and crooks', na huenda Tanzania ikazalisha tena wakimbizi kama ilivyokuwa 2001. Kwa umri wake Maalimu Seif has nothing to lose ukizingatia huenda ukawa ndio uchaguzi wake wa mwisho kama mgombea, na Zitto naye atakuwa anataka kujenga jina.

Tusiombe kufika huko, ndiyo maana nimetahadharisha mapema vyombo vya dola polisi, mahakama, NEC na viongozi kutumia busara, kuhakikisha haki inatendeka na usawa kwa vyama vyote bila upendeleo. Pasipo vyombo vya dola kutenda haki naiona Tanzania ikiingia kwenye rekodi za dunia.

Haya ni maono yangu.

Mchambuzi wa siasa za Tanzania, Quinine.
We unataka kushindana na dola Muulize Mbona kila Chaguzi analia na ushindi unamshinda kuupigania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom