Kama mmeitelekeza Tanganyika yenu na kujiits Tanzania ili muimeze Zanzibar Nyerere amewaingiza chakike, Wazanzibari wapo smart sana ndiomaana toka mwanzo wametegua mbinu zote za kuipoteza na muimeza Zanzibar au kuifanya mkoa. Nyerere hakua smart kuipoteza Tanganyika kwa kujiita Tanzania kwa...
Bakwata usiwalinganishe na madhebu ya Kikristo, madhebu ya Kikristo waumin ndio wanaochanga pesa kuendesha taasisi zao, Bakwata wanajua wenyewe wanakotoa pesa, hakuna Muislamu anaechangishwa kwa ajili ya Bakwata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.