shen jiran yangu ni baba yangu ila kwa hapo umechemka kipindi chako cha miaka mitano hamna zaidi ya mnara wa kisonge. ulituahidi uvuvi wa kisasa na viwanda vya kusindikia samaki boti za kisasa ila cha kushangaza hadi unamaliza miaka yako mitano hata moja hujafanya sasa unatuzidishia mzigo...
stroke upo sahihi kimawazo ila kiutendaji ni kwel kabsa sheni anaongopa mchana kweupe maana hadi sasa sheni niraisi wa zanzibar ingelikuwa kwel anajali maslah ya wafanyakazi na wazanzibar kwa ujumla angefanya hayo kisha wazanzibar watayaona na kukugundua umuhimu wake kwao ni hayo tu nionavyo.
msukuma mbona ckuelewi wakati unampigia debe awe rais kupitia ccm alikuwa mzur ila baada ya kuwa chadema ndo muovu tufumbuen macho viongoz wetu mbona mnatuzonga
mhhh inawezekana ila ww unawawazia wachatusubir tuone chama kufa na kufuka nijambo la ajabu lakin kwa tz cajabu. imekufa TANGANYIKA na hakuna anaehoji. napindi akijitokeza mtu kushtuka kama ww utapotea katka ullimwengu huu au kisiasa. asubuh njema.
mhhh cfikirii kama nikwel maana afya unayoizungumzia hyo. ikiwa hospital kuu uhaba wavifaa unasumbua madakar na wagonjwa je huko kijijini. elimu nikwel tumejitahid sana kujenga majengo ila mitaala mibovu. kuhusu ajira hilo ndo utata mtu mm mtoto wa mkulima ntawezaje kufikiria kuajiri watu 10000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.