mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
mpaka sasa sijapata sera iliyoniridhisha
Twende na lowasa,magufuli sio chaguo la mungu
prince, hapo mwisho umesema lowasa ana sera zinazowagusa watanzania!
nambie ni sera gani na alizitaja lini, na wakati wa kampeini bado!!
yaani .!!!!
kikubwa xa ivi ni kupambana na rushwa na ubadhilifu wa mali za umma. nchi haiwezi kua maskini wakati tuna rasirimali za kipekee apa duniani.
elimu kitu gani na wakati wapo kibao walioelimika ila mazingira ya ajira ni mabovu. atengeneze mazingira ya ajira kwanza.