Recent content by billy1999

  1. B

    Msaada jinsi gani naweza kuwafikia wamiliki wa vyombo vya usafiri mikoni ili kuingia nao makubaliano ya kussuport wazo langu?

    Habar qanaforum mimi apa nawazo la kuanzisha ofisi ya kupokea na kaagiza mizigo kutoka dar kwenda mikoni au kutoka mikoani kwenda sehem ingine kwa kutumia usafir wa mabasi lakin sijui vipi nitawafikia wamiliki wa mabasi ili nikubaliane nao. Hii nataka ni tengeneze uaminifu na urahisi kati ya...
  2. B

    Tumshauri kijana huyu cha kufanya, muda bado upo

    huwa nina mawazo ya kusaidia jamii ya kutengeneza mfumo/ sytem bt uwa nakosa nianzie wapi
  3. B

    Jinsi gani naweza andika wazo langu la kutengeneza application/system na nikapata ufadhili kutoka serikalini au kampuni binafsi

    Naom,ba kuuliza ni jinsi gani watu wanaandika mawazo yao na kufanikiwa kupata udhamini kutoka selikalini au makampuni binafsi na kufadhiliwa ili kuendeleza au kufanya yale m,awazo alioyawakilisha kwa mfano mimi naitaji kutafuta udhamini wa kutengeneza application au system ambayo inaweza kua...
  4. B

    kwanini AJIRA PORTAL baadhi ya kazi Mtu aliesoma Biotechnology and laboratory sciences hawezi kuaply hata kama ana sifa

    mimi nimesoma bacherol ya Biotechnology and laboratory sciences na miejaribu kuapply kazi kama vile laboratory scientist katika biochemostry au microbilogy na unakuta wanaweka pale kozi wanaotakiwa kuapply kama vile Bsc in moleculae biology, microbiology, biotechnology and molecula biology, au...
  5. B

    Academic Qualification unajaza vipi Taesa kwa waliosoma Biotechnology

    Mimi ni graduate wa Biotechnology and Laboratory Science Nimejaribu kujaza katika system ya Taesa nimeweka vyeti na kila kitu ila bado wana onesha academic qualification not filled kwanini?
  6. B

    Nauza dipstick za urine kwa sh 16000

    kwa wanaoitaji dipstick za urine nipigie kwa namba 0778422150 nipo zanzibar kijichi bei ni sh.16000 pia machine ya FBP three parts kwa Milion 6 ipo kwa anaeitaji
  7. B

    Ushuru upoje kama ukiagiza mfano piece 50,000 za container za urine kutoka China

    Naombeni msaada hivi ukiagiza bidhaa online mfano pieces 50,000 za urine container kutoka Alibaba zenye thamani mfano sh. 2500000 ushuru wake hapa bongo unaweza fika shilingi ngapi
  8. B

    Wapi naweza pata huduma ya kutengenezewa design yangu ya chupa za plastiki?

    Nimepata maelekezo kutoka kwa wadau humu jf ko nitaanza fatilia
Back
Top Bottom