Recent content by Billy Munde

  1. B

    Je, kulikuwa na ulazima wa nchi kuingia vitani na Idd Amin?

    Chanzo cha vita hii ilikua ni ugomvi wa binafsi wa walinzi wa mpaka wa pande zote mbili, aliyesababisha ni Mwanamke malaya. Chanzo cha kutupiana risasi ni hicho. Kama kungekua na diplomasia nzuri tusingefika huko vitani. Pamoja na kuwepo na ugomvi wa siku nyingi kati ya nchi hizi mbili wote...
  2. B

    Balozi wa Palestina nchini ampongeza Rais Magufuli

    Amesahau kumpongeza kwa kuwezeshwa na Taifa la Israel mitambo ya kisasa ya kijasusi ya kuingilia masaliano
  3. B

    Waziri Selemani Jafo akitoka ndani ya ofisi yake mpya mkoani Dodoma baada ya kazi

    Ingependeza kama mtu yule nae ange mbeba mama yake ahamie nae Chamwino
  4. B

    Almas Maige kupeleka hoja binafsi Bungeni ili kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia na kujifunzia kwa ngazi zote za elimu nchini

    This madness! Sisi kama taifa hatuna sifa yeyote ya mafanikio katika gunduzi zilizofanikisha maendeleo duniani katika kumpunguzia ahueni wanadamu. Kiswahili bado kipo nyuma kwenye akademia sababu bado tunategemea wanazuoni wa nchi bazo hazizungumzi kiswahili watutafunie sisi tunameza elimu...
  5. B

    Kisa cha Angela Quintal na Muthoki Mumo kutekwa Tanzania

    Aisee mna kibarua kigumu sana cha kupanchua attacks
  6. B

    Need to launch complaint against GSM GROUP

    During the tunure you worked with that lady do you think they view you as an obstacle on bending something? You know you need to be firm on this or otherwise we will treat the matter as handbag war ( inside there are lipsticks,keys powder razor ) always fighting. Search Makonda on instagram -...
  7. B

    Need to launch complaint against GSM GROUP

    I thought that Mohamed Saleh acted under Company umbrella. I also believe the core of the matter originated from your work related misunderstanding rather than personal issues. My advice as a neutral observer I will challenge you to report something to RC that will make him very very angry...
  8. B

    Need to launch complaint against GSM GROUP

    Before we considering you for our help, will you emphasize what was your role on robbing Tanzanian before envetually GSM robbed you? Can you please prove and give us facts why you think company did unethically approach towards staffs in this case you? Can you wistle blow something that you...
  9. B

    Tanzania yawa nchi ya kwanza Afrika kurusha ndege isiyo na rubani

    Mbona the same drone company ime provide the same service to Rwanda since 2016 - acheni kupotosha
  10. B

    Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

    Amesema mwenyewe kwa kinywa chake kama anateua kwa mfano wa ukichaa wake - usimlishe maneno Mheshimiwa- ukichaa ni kama kibiongo
  11. B

    Tofauti na Wahudumu wa ATCL waliodhihakiwa mitandaoni, kumbe ATCL ina visu balaa

    People are sick - mental problems issues ni nyingi sana TZ mpaka basaline ya kujitambua na kuheshimiana imetoweka. Wajihi wa sura na maumbile sio factor ya output yako kaxini
  12. B

    Ni afadhali Rais Magufuli tunaziona hata ndege

    Hii post ibakie hapa. Watanzania tuna mambo mengi sana ya kujadili likiwemo la ndege mpya ambazo Raisi kanunua bila kujua source of finance imetoka wapi, alikuwa anauwezo wakuzila na tusijue! Magu asante sana! Shukran Habibi, wabeja, wakora, ndagha- urakoze - daaaa watanzania amkeni - tokeni...
  13. B

    Askofu Mwaipopo wa KKKT Ziwa Tanganyika analindwa na polisi,ndio kisa cha kuukana waraka na kutumika na serikali

    Mtume Paulo alihaama na kusafiri kila mahali ili kulijenga Kanisa. Sasa huyu Mangi mkuu kwanini asipeleke kipaji chake Machame, Meru, Kishumundu? True colour- Dhambi ya pipo pawa itatupeleka pabaya.
Back
Top Bottom