hizi habari za kutoroka kazin haya siongei sana, but kuna siku utatoroka alafu ile unafika tuu nyumbani unakuta Boss kalala na mkeo nyumbani alafu unanyata taratibu unarudi kazini ili Boss asijue kama ulitororoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kuna staili yangu nafunga miguu na mikono na kamba kila kiungo upande wake sasa sikilizia kinachoenda kutokea hapo, ni mwendo wa kulia paka polisi waje kuamua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mr ntafute kwa billionarerry@gmail.com tunaeza kufanya kitu kikubwa kwenye bussiness, I'm professional trader naskitika umedeposit 500$ alaf unapigwa, ukipenda unaweza kunitext
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu mchezo alinifanyia mdada mmoja ansema yupo london, alinipiga biti nikaiva kweli kweli na nnavojiaminigi kuwa siezi kutapeliwa, basi ningejikuta nauza nyumba kwa millioni 100, kilichonsaidia niliomba watu ushauri basi nd akili ikashtuka hapo ila nlikuwa bata bamdani
Sent using Jamii Forums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.