October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 4,996
Mkuu Forex ni Hustle za watoto wakimaskini usitegemee mtoto wa Bakhresa akafanya FX yanini aumize kichwa na Mtaji upo.usimdanganye mwenzako ana degree ya Finance bado unamshauri akacheze upatu
probability ina asilimia ngapi ya kupata na ngapi ya kukosa?
hiyo michezo ni ya maskini na hakuna tajiri aliyetoka kwenye Kamari
km wapo mtuyajie hasa waliopitia FOREX
Mo angezaliwa ambapo hazipo angafanya FX ila Mtaji kwao ulikuwepo yanini kujiumiza hakuna njia rahisi ya mtoto wa kimaskini kupanda juu either uchague kupanda kwa njia ngumu au ukae na umasikini.