Recent content by Billionaire mind

  1. B

    GE2020 Ndugai: Mimi ndio Spika wa Bunge, nawajua Wabunge wote. Hao wapinzani hawajawahi kuwatakia maendeleo watanzania maana wao kila kitu hupinga tu

    Kumbe Bado Ni speaker! Mpaka Hapo atakapoteuliwa mwingine!!...Au u speaker kapita Bila kupingwa!!!
  2. B

    Mrisho Gambo atenguliwa Ukuu wa Mkoa wa Arusha

    Acha kujitoa Akili hao wapinzani wakionekana majimbon RPC, OCD, Anawabana utafikiri waalifu...Wakiuzuria mikutano ya kikazi na kiserikali mnakuja na jezi za kijani...Mwenyekit wenu anawatukana...Siasa za hoja ccm Ni weupe Safishen upinzani kwa mtutu wa Bunduki...SI mnatumia dollar kubaki madarakan!!
  3. B

    Mrisho Gambo atenguliwa Ukuu wa Mkoa wa Arusha

    Upinzani wanatoa wapi! pesa ya kufanya maendeleo!! Kazi ya upinzani Ni kutoa hoja na kuishauri serikali kutekeleza wajibu wake embu nenda kwenye kumbukumbu za Bunge angalia michango ya wabunge wa upinzani, Alafu ujiulize Kama serikali ingekuwa inafanyia kazi tungekuwa tumepiga hatua kiasi...
  4. B

    Bila connection unaweza kukosa chakula hata msibani

    😂😂😂....Aisee Bila connection ata msibani unakosa chakula...
  5. B

    Miaka 5 kazini mshahara haujawahi kutana

    Nenda machame au meru kaoe Mwanamke mwingine ukishamkabidhi pesa kutoka mpaka damu imwagike...jokes Pole mkuu ilo siyo tatizo lako peke yako Ni almost wafanyakazi wote...Ufumbuzi wa Kwanza tayari umeshaupata kitendo Cha kujiuliza hivyo tayari upo karibu kupata Ufumbuzi...all the best mkuu.
  6. B

    Maisha bila mganga wa kienyeji hayaendi

    Hata asingekupa iyo dawa Kama muda wa kuuza ungefika kiwanja kingeuzwa tu...Vipi siku Mambo ya ndoa yakiharibika ukaenda Mganga akasema umtengee apple alionjee ndo dawa utakubali!: Alafu tuambie pia matumizi ya hizo pesa yalikuwaje! Sikupingi Imani yako but nakushauri tu Toa Tumain lako kwa...
  7. B

    Sababu za ndege kumwaga mafuta angani

    Du Duh!! Yaan miaka yote najuaga Ni Rocket zinatoa Moshi. Asante kwa knowledge mkuu!! Kumbe Sasa Kuna umuhimu wa kufatilia vitu kitaalamu.
  8. B

    Mbinu nayotumia kumlea mwanangu anayesoma private awe mjanja, awe na furaha, asigeuke kuwa kuku wa kisasa

    dudu jeupe, Vipi Kama wapo swimming club za shule home Wana jifunza karate na mafunzo ya ukakamavu, wanakwenda kucheza tenesi na wenzao wa gate Kali... Yaani sijakuelewa unataka wacheze na watto wa mitaani, Yaan wale watoto wasio na heshima Wana matusi mazito na tabia mbovu na adabu...
  9. B

    Najivunia kuacha chuo. Kijana mwenzangu, huhitaji shahada kufanikiwa kimaisha (to be rich)

    Shule inaweza isiwe na umuhimu kulingana na mtazamo Wako! But maarifa ni muhimu Sana ndio maana uliamua kujisomea vitabu ili kuongeza ufahamu sasa unapo shauri vijana wenzako kwamba shule ni kupoteza muda unakuwa haupo sawa..Ni rahisi mtu aliyesoma Shule kujifunza na kujisomea mambo mbalimbali...
  10. B

    Viongozi wasio na maono, weledi na ubovu wa mifumo unaifanya serikali kulipa watumishi wengi wasiokuwa majukumu ya kazi

    Mifumo mibovu ya serikali ya kijani..ndo matokeo yake haya...Afisa nyuki mjini ana majukumu Gani!! kwa Nini wasipelekwe mahali Wana Tija wakaongeze utendaji!! PhD zetu zinapaswa kuchunguzwa..hiyo mishahara ingepelekwa kwenye miradi ya uzalishaji Ingekuwa na Tija...
  11. B

    Kudaiwa na kudai: Tujadili madeni kwa ujumla

    Mkuu mada nzurii sana hii..kitu kingine cha muhimu kuzingatia kwa mdai ni kuepuka kutoa maneno ya vitisho kwa mdaiwa..mf nitakuua, utaona, nk.... Experience inaonyesha wadaiwa, Ni watu wenye madeni ya watu wengi, Sasa ikitokea katika wadai wake 1 Uvumilivu ukamshinda akamfanyia...
  12. B

    Jamani mnaingizaje hela kwa siku? Tupeane hiyo michongo

    Mkuu umemaliza kila kitu...mleta mada tayari ana nyenzo ya kupatia mtaji kazi kwake...
Back
Top Bottom