Msaada wa vyuo ambavyo vinachukua wanafunzi wa diploma na certificate intake ya mwezi wa tatu mwakani vilivyopo mkoa wa Mbeya, Iringa, Njombe na Katavi
Mimi ni muhitimu wa kidato cha nne mwaka fulani niliomba diploma ya clinical officer kupitia NACTE nimepata lakini sina uwezo wa kujilipia ada msaada wa mashirika yanayotoa udhamini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.