Mada nzuri sana hii
Sometimes huwa nawaelewa sana watu wanaoamua kujilipua na kwenda kuishi mbali na jamii ya watu walipozaliwa au kukulia
Wakishajipata, ndio utawaoana wanarudi tena ile kiaina
Wanawasaidia wawili watatu, dhen wanarudi kwenye life ya kujitenga kidogo
Afrika kuna mambo mengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.