Recent content by Bilionea Asigwa

  1. Bilionea Asigwa

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi Binafsi. Leo ningetimiza miaka 15 kaburini

    Dah Pole sana asee
  2. Bilionea Asigwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ghost phase kwenye maisha ya mwanaume

    Mada nzuri sana hii Sometimes huwa nawaelewa sana watu wanaoamua kujilipua na kwenda kuishi mbali na jamii ya watu walipozaliwa au kukulia Wakishajipata, ndio utawaoana wanarudi tena ile kiaina Wanawasaidia wawili watatu, dhen wanarudi kwenye life ya kujitenga kidogo Afrika kuna mambo mengi...
  3. Bilionea Asigwa

    JamiiForums Tanzania Simbachawene unagomea maandamano ya "Wakatoliki" hutaki mama asafishwe?

    Dah Nimeanza sasa kukonekti doti...
  4. Bilionea Asigwa

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Makonda ateuliwa kuwa Waziri wa Habari, Simbachawane atenguliwa Uwaziri wa Mambo ya ndani ya Nchi

    Naona Nchimbi anapunguziwa ushawishi kiaina Huyu Simbachawene ni timu Nchimbi...
  5. Bilionea Asigwa

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Dah Hii mbona hatari aseee
  6. Bilionea Asigwa

    JamiiForums Tanzania Zijue faida za Mmea wa Mlonge, Jitibu magonjwa 300 kwa kutumia mlonge

    Uzi mzuri sana huu...
  7. Bilionea Asigwa

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya IMF (2025): Tanzania Miongoni Mwa Nchi 10 za Afrika Zenye Deni Kubwa la IMF

    Hii inasikitisha aseee....
  8. Bilionea Asigwa

    JamiiForums Tanzania Wanayanga wenzangu tusikubali kuingia kwenye mtego wa mashabiki wa simba kuhusu jezi zetu mpya

    Ila kusema ukweli Mwaka huu jezi ni mbayaaa...
  9. Bilionea Asigwa

    JamiiForums Tanzania Asili ya majina Mikocheni, Masaki na Kariakoo

    Na ipi ni asili ya jina Manzese? Na asili na jina Sinza...
  10. Bilionea Asigwa

    JamiiForums Tanzania Angalia watoto wa Gaza wanavyokufa kwa njaa mikononi mwa mama zao mbele ya macho ya wenzao huku dunia ikiwa haitaki kuangalia.

    Wapambane na hali zao Ndugu zetu Wakongomani wanauawa daily kama kuku, kuna Muarabu anajali?? Kwa nini na sisi tujali, au kwa sababu wana pua ndefu??
  11. Bilionea Asigwa

    JamiiForums Tanzania Huyu Kagoma alifungwa sal tape kichwani?

    Hiooo
  12. Bilionea Asigwa

    JamiiForums Tanzania Huyu Kagoma alifungwa sal tape kichwani?

    He he he he Hii nchi hii...
  13. Bilionea Asigwa

    JamiiForums Tanzania Kenya yatupwa nje michuano ya CHAN 2024 na Madagascar kwa Mikwaju ya Penati 3-4

    Safi sana Tatizo marehemu alikuwa na kamdomo sana...
  14. Bilionea Asigwa

    JamiiForums Tanzania Ishara kama Aina za Wachawi

    Nasikia wanakagua kagua, wakikuta nyota nzuri wanabeba, wakikuta mvuto au pesa wanabeba
  15. Bilionea Asigwa

    JamiiForums Tanzania Ishara kama Aina za Wachawi

    Shukrani sana Ngoja niusome vizuri huu uzi..
Back
Top Bottom