Recent content by Bikra unayo

  1. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Hospitali ya rufaa Ndanda, muongezee hapo
  2. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania David Djumbe, msaidizi wa Tundu Lissu aongea mazito akiwa uhamishoni nje ya nchi 07 Agosti 2026

    Inatia hasira sana. Huyu kiboko wa kizimkazi ipo siku yake tutamfanya kama anayofanya kwa watanganyika.
  3. Bikra unayo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahakama yaamua Uchaguzi Mkuu Kenya unapaswa kufanyika Agosti 11, 2026, hata hivyo utekelezaji wake wasitishwa

    Kwa hiyo baada ya yote hayo uchaguzi utafanyika lini?
  4. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Rachel dangwa ilibidi akamatwe Mapema sana maana alikua anatumia matusi ya nguoni

    Ungetumia hiyo nguvu kupinga mauaji ya mama yenu, ufisadi na nepotism tungekuona wa maana. Matusi huwezi kuyapa uzito kiasi cha kuunga mkono mashetani kumteka kisa kayatukana kwa uovu wao. Je matusi yanaweza kua na madhara kama hayo hapo juu?
  5. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Tuelewane waungwana, kuna tofauti gani kati ya hizi style?

    Watani wako wana shida sana. Sidhani kama wanaanzaga wao kushambulia, comeback zako ni zaidi ya magoli.
  6. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Unadindisha kabisa nyuma ya tundu la mavi la mwanaume mwenzako tena katika panic mode? Kuna saikolojia za ajabu sana hapa duniani. Hizo ndo dhamiri zilizojifia. Hakuna kosa litakalohalalisha vitendo kama hivyo. Ni bora ungemuua huyo victim wako tungesema umeua bila kukusudia, kuliko huo ufirauni.
  7. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Norway Fund ni kitu ambacho kinapaswa kuigwa na serikali ya Tanzania kwa mustakabali wa kizazi kijacho

    Shida kubwa ya mtu mweusi ni ubinafsi uliopitiliza. Tunajiwazia sisi tu na leo tu, Wenye mamlaka wanajiwazia wao peke yao na si wanaowaongoza leo na vizazi vijavyo. Afrika swala la ubinafsi ni kamba ya asili shingoni tuliyofungwa tusipige hatua. Angalia mpango wa serikali yetu wa kununua...
  8. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Ni member gani mwana CCM angalau anakubalika kwa michango yake hapa JF bila kuegemea Upande?

    Tabia ya kusupport mauaji ya samia ndo imedhihirisha wana ccm ni wendawazimu, inawavua akili wana ccm wote kwa kuyasupport. Hapo ndo wengine hata wasio na vyama wanaonekana Chadema lakini kimsingi ni wapinzani wa mambo ya kipuuzi ya Samuya. Kama si mwanasiasa basi usiwe mfuasi wa mtu hata kwa...
  9. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Unafikiri kwa nini CCM haina ushawishi kwa members wengi humu JF?

    Kwanini wasiwe huru kujiachia majukwaa mengine au hata mtaani?
  10. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Unafikiri kwa nini CCM haina ushawishi kwa members wengi humu JF?

    Not at all Mtibeli, Sina hasira na ww hata kidogo, but i hate that thing called ccm. Ni chanzo cha mabaya mengi hapa nchini.
  11. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Unafikiri kwa nini CCM haina ushawishi kwa members wengi humu JF?

    After all their stupidity since independence, bado unauliza kwanini hawaungwi mkono na jamii inayojitambua?
  12. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Wanawake hupenda wanaume wahuni; poshy queen

    Birds of the same feathers
  13. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Watanzania hatujalogwa sisi ni wajinga

    Ndo hao hao wavaa Jeje, na botiboti kama ghorofa ya mkoloni.
  14. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Fanyeni hivi ili Heche ajiuzulu

    Sema jambo Taifa lipone.
Back
Top Bottom