Recent content by Bikra unayo

  1. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Kutoka kuosha magari ya watu hadi kumiliki car wash yake mwenyewe

    AI imerahisisha mambo, yaan udundulize mshahara kiduchu, ufungue car wash yako, upate wateja hadi uajiri vijana. Hayo yote ni ndani ya miezi michache. Umemuhonga Mungu nini ndugu.?
  2. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Ukipita ofisi hizi wapatie watumishi chochote

    Hapana hebu funguka, una hoja ya maana usiogope watakuonaje
  3. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Haya Ndiyo Baadhi ya Yaliyofutwa Katika Historia ya Kupigania Uhuru wa Tanganyika

    Watu aina yako ndio mnaoiharibu nchi yetu pendwa kwa priorities zenu za dini..
  4. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Mtu unamiaka 50+ unaenda kununua kiwanja au eneo kwa 500m+ unawafya uwekezaji wa 2b-5b je pesa yako itarudi lini (kwa hapa bongo?)

    Kwa hyo soln ni kuishi maisha ya kizembe na kidgo utachopata ni kutumbua kabla hujafa ili usiache chochote nyuma kwa yeyote?
  5. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Mtu unamiaka 50+ unaenda kununua kiwanja au eneo kwa 500m+ unawafya uwekezaji wa 2b-5b je pesa yako itarudi lini (kwa hapa bongo?)

    Mtu mweusi na ubinafsi ni chanda na pete. Tuseme wewe mleta mada kila kitu/uwekezaji unaoufanya ni kwa faida yako peke yako tu? Si watoto achilia mbali jamii baki. Kama ni hivyo basi una akili finyu sana. Hata kama nyingi haziendelezwi ndo tusifanye maendeleo yeyote kwa sabb tutakufa?
  6. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Wasira: Tukipunguza nguvu za rais nchi haitapata maendeleo.

    Zinjathropo in one & two.
  7. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Je yawezekana siku Moja akatokea Rais akaomba kukaa pembeni kisa suala la Afya?

    Binafsi natamani sana huyu mjane hata leo atuachie Tanganyika yetu, ila simuamini hta kidogo huyo Ndenjembi, nahisi ni zao la hao hao wana mtandao as long as ameshafanya kazi GSM. Ongopa sana hilo genge lina mizizi mirefu sana, na hawajamchagua kwa bahati mbaya kuwa VP.
  8. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Je yawezekana siku Moja akatokea Rais akaomba kukaa pembeni kisa suala la Afya?

    Kwa jinsi ulivyoipokea hii tetesi ya kificho wewe mzee, 1) Possibility ya kuwa kweli ni 80% 2) Umeonesha unapenda sana litokee ASP. NB. Maneno ya hekima hadharani hutuliza nyoyo zilizoghadhibika. Watu hawawashi taa na kuificha kwenye chungu bali huwashwa na kuwekwa juu ya kiango iangaze kote...
  9. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Bila kuwachafua wenzake kwa shutuma za uongo Lissu asingeshinda uwenyekiti

    Bila Samuya na genge lake kumuua Magufuli, pengne uraisi ungempata mtu mwenye akili timamu kidogo kuliko huyu vampire mjane anayetutawala.
  10. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania KERO Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango

    Kamwambieni boss wenu aliyewatuma kuua ndugu zetu. Kwani ule ubabe wenu hauwasaidii kupata hizo allowance? Ndo mjue nyie ni mashimo ya mavi tu, mkishatumika mnatemewa mate.
  11. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda amaliza kutoa ushahidi Mahakamani Septemba 9, 2026

    Usipoteze muda wako kwa machoko ya mama.
  12. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Hicho kibuyu kipasuke tu huko mzena.

    Usituwakilishe hatujakutuma. Mtake wewe na chawa wenzio.
  13. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Kime-happen kwa jirani na sijutii kabisa

    Muache auze urijali. Sio muda ataanzisha nyuzi zenye kichwa "Natamani kufa nimechoka kuishi". Ujue wahuni wamefanya yao tayari, Wamemuacha na changamoto ya afya ya akili.
  14. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania Kime-happen kwa jirani na sijutii kabisa

    Kijana umekosa cha kuchezea hadi ucheze wake za watu? Kuna ule uzi wa ushuhuda alichofanywa yule jamaa mla wake za watu, yaliyomo mule omba sana yasikukute
  15. Bikra unayo

    JamiiForums Tanzania U'Magufuli' wa Mwigulu wawaibua Mange, Maria Sarungi na Kigogo

    Mtoa thread ndo mwigulu mwenyewe. Umeandika kama mpinzani ilihali ni walewale mashoga ya lumumba.
Back
Top Bottom