AI imerahisisha mambo, yaan udundulize mshahara kiduchu, ufungue car wash yako, upate wateja hadi uajiri vijana. Hayo yote ni ndani ya miezi michache.
Umemuhonga Mungu nini ndugu.?
Mtu mweusi na ubinafsi ni chanda na pete. Tuseme wewe mleta mada kila kitu/uwekezaji unaoufanya ni kwa faida yako peke yako tu? Si watoto achilia mbali jamii baki. Kama ni hivyo basi una akili finyu sana. Hata kama nyingi haziendelezwi ndo tusifanye maendeleo yeyote kwa sabb tutakufa?
Binafsi natamani sana huyu mjane hata leo atuachie Tanganyika yetu, ila simuamini hta kidogo huyo Ndenjembi, nahisi ni zao la hao hao wana mtandao as long as ameshafanya kazi GSM. Ongopa sana hilo genge lina mizizi mirefu sana, na hawajamchagua kwa bahati mbaya kuwa VP.
Kwa jinsi ulivyoipokea hii tetesi ya kificho wewe mzee,
1) Possibility ya kuwa kweli ni 80%
2) Umeonesha unapenda sana litokee ASP.
NB. Maneno ya hekima hadharani hutuliza nyoyo zilizoghadhibika. Watu hawawashi taa na kuificha kwenye chungu bali huwashwa na kuwekwa juu ya kiango iangaze kote...
Kamwambieni boss wenu aliyewatuma kuua ndugu zetu. Kwani ule ubabe wenu hauwasaidii kupata hizo allowance?
Ndo mjue nyie ni mashimo ya mavi tu, mkishatumika mnatemewa mate.
Muache auze urijali. Sio muda ataanzisha nyuzi zenye kichwa "Natamani kufa nimechoka kuishi". Ujue wahuni wamefanya yao tayari, Wamemuacha na changamoto ya afya ya akili.
Kijana umekosa cha kuchezea hadi ucheze wake za watu?
Kuna ule uzi wa ushuhuda alichofanywa yule jamaa mla wake za watu, yaliyomo mule omba sana yasikukute
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.