Ungetumia hiyo nguvu kupinga mauaji ya mama yenu, ufisadi na nepotism tungekuona wa maana. Matusi huwezi kuyapa uzito kiasi cha kuunga mkono mashetani kumteka kisa kayatukana kwa uovu wao.
Je matusi yanaweza kua na madhara kama hayo hapo juu?
Unadindisha kabisa nyuma ya tundu la mavi la mwanaume mwenzako tena katika panic mode?
Kuna saikolojia za ajabu sana hapa duniani. Hizo ndo dhamiri zilizojifia. Hakuna kosa litakalohalalisha vitendo kama hivyo. Ni bora ungemuua huyo victim wako tungesema umeua bila kukusudia, kuliko huo ufirauni.
Shida kubwa ya mtu mweusi ni ubinafsi uliopitiliza.
Tunajiwazia sisi tu na leo tu, Wenye mamlaka wanajiwazia wao peke yao na si wanaowaongoza leo na vizazi vijavyo.
Afrika swala la ubinafsi ni kamba ya asili shingoni tuliyofungwa tusipige hatua.
Angalia mpango wa serikali yetu wa kununua...
Tabia ya kusupport mauaji ya samia ndo imedhihirisha wana ccm ni wendawazimu, inawavua akili wana ccm wote kwa kuyasupport. Hapo ndo wengine hata wasio na vyama wanaonekana Chadema lakini kimsingi ni wapinzani wa mambo ya kipuuzi ya Samuya.
Kama si mwanasiasa basi usiwe mfuasi wa mtu hata kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.