Recent content by Bikongoro

  1. Bikongoro

    JamiiForums Tanzania Balozi Kagasheki na Meya wa Bukoba wako ulingoni tena

    kina nshomire mnazidi kurudi nyuma tu,, wenzenu wakichanja mbuga...,
  2. Bikongoro

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yagaragazwa vibaya Iramba,CCM yachukua vijiji vyote

    binafsi naona hakuna mshindi,,kama vijiji vyote hivyo vimekuwa vikishikiliwa na ccm,,ni kama cdm nao wanazidi kukubalika,japo labda kwa kiasi kidogo,, sehemu yenyewe ni iramba,, hawa ni wanachama waaminifu sana wa ccm, kwa maana ya ufukara uliopindukia!! my take: cdm waendelee na civic education...
  3. Bikongoro

    JamiiForums Tanzania Rai Yangu kwa Mh. Pinda na Rais Kikwete, Tunaomba Busara Zenu !

    hoja yako ni kuntu, lakini kwa uzoefu wangu, mabadiliko katika baraza la mawaziri au kumuondoa waziri fulani kwenye wadhifa wake haikuwahi kuleta nafuu,, for instance muhongo was a replacement ya ngereja,kawambwa for sitta and so on,, hapa tatizo lipo over and above vile tunavyofikiria...
  4. Bikongoro

    JamiiForums Tanzania Ukimya wa Mbowe na Slaa juu ya sakata la Mtwara nini tasfiri yake??

    tunachokiona mtwara ni dalili njema ya watanzania kuanza kujitambua,, naweza kuona japo kwa mbali,ule mwanga wa mabadiliko,,hakuna nafasi ya matamko hapa,maana hata yakitolewa na hao serikali iliyopo madarakani kwa ridhaa ya raia,, yatakuwa ni ya vitisho dhidi ya raia wenye grievancies,,tatizo...
  5. Bikongoro

    JamiiForums Tanzania Mheshimiwa FELIX MKOSAMALI aunga Mkono Hoja kuhusiana na Bajeti ya Magufuli

    hapo ndo huwa mnayakoroga,,who is zitto, mpaka asikosolewe,,no wonder utamuona nape anapita huku na kule akitoa maelekezo kwa wakuu wa mikoa na wakurugenzi,,tabia ya politicians kujikweza ni uchanga wa demokrasia!
  6. Bikongoro

    JamiiForums Tanzania Facts Check: CCM Vs CHADEMA (Tulinganishe Sera, Itikadi, Uadilifu, Uwajibikaji)

    ccm kwa sasa ndio wameshika dola,zaidi ya nusu karne sasa,chadema ni wapinzani rasmi na bado wachanga but challenging, kuhusu ulinganifu wa policy na philosophy na utekelezaji wake, naweza kugeneralize kwamba mpaka sasa ccm ni failures,maana hata falsafa ya chama haijulikani ni ipi,achilia mbali...
  7. Bikongoro

    JamiiForums Tanzania Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!... Endapo ...!

    na nyie wanasheria kuweni na discipline mnapochangia hoja,humu jamvini kuna wahandisi, maafande,madaktari nk kila mtu akileta ufundi wake,itakuwa vurumai,tumeni lugha rahisi wazee
  8. Bikongoro

    JamiiForums Tanzania Mh. Magufuli aleta mwarobaini wa foleni Dar

    tatizo ni bajeti ndogo,, miradi mingi isiyotekelezeka,, lengo kuu likiwa ni kutafuta utukufu wa kisiasa,,mwisho wa siku hakuna udhibiti, kila kitu kinafanyika chini ya kiwango,, hakuna jipya ni porojo tu za miaka nenda rudi,hadi watanzania wamezoea matatizo na wanayafurahia!! watawala wame...
  9. Bikongoro

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa jimbo la Rungwe Magharibi, Prof. David Mwakyusa pamoja na CCM presha juu

    wewe ndugu,, uwezo wako wa kujenga hoja ni mdogo,, nadhani kiwango chako cha elimu pia ni finyu,,kuna tatizo gani mtu kuuza mitumba,, hawa ndo walipa kodi the most, of which in turn is being misused na watawala,,ccm inabakia kuwa chama cha kushinda uchaguzi mkuu basi,,na nyie wengine hamchoki tu...
  10. Bikongoro

    JamiiForums Tanzania Mchugaji aiponda pombe kwenye mahubiri kanisani.

    Jumapili moja,wakati akihubiri kanisani,mchungaji akaanza,"laiti ningekuwa na uwezo kwa namna ninavyokerwa na pombe, nigeamuru vilevi aina zote kwenye mabar vikamwagwe mtoni..........." anapomaliza kuhubiri anatoa fursa kwaya waimbe,,kwaya master anawaelekeza waumini kufungua vitabu vyao ili...
  11. Bikongoro

    JamiiForums Tanzania Kwa Lowassa, mwenye macho haambiwi tazama

    tunachohitaji tanzania ni zaidi ya watu,hawa wote wamekuwepo kwenye uongozi kwa muda kitambo sasa, lakini mambo hayaonekani kuboreka,kila siku inayopita,inaonekana hata jana ilikuwa bora zaidi....., tanzania tunahitaji sera mpya, mtazamo mpya, vision, na utekelezaji wa mambo kiupya,, hatuhitaji...
  12. Bikongoro

    JamiiForums Tanzania Mjengwa asitisha mahusiano na Ludovick Joseph kwa tuhuma za 'kuhusika na matukio ya kigaidi'

    you guys, judging people prematurely is unheardoff, lets just wait and see how it proceeds,
  13. Bikongoro

    JamiiForums Tanzania TANESCO, Mgao wa Umeme waanza kinyemela?

    hakuna aliyerogwa kuliko wa tz, tumekuwa dhaifu, legelege, tusiopenda kufurahia maisha ktk nchi yetu, wajinga sisi,
  14. Bikongoro

    JamiiForums Tanzania Mh Rais Kikwete hapa ndipo umetufikisha

    hakuna udini, ni malalamiko yasiyokwisha ya waislamu, wakishindwa kurejea historia na mapokeo ya dini yao,
Back
Top Bottom