Dr mambo vp,
Mwanangu wa miezi 3 anatokwa na mapele makubwa kichwani kama majipu yanatengeneza usaha na kupasuka yenyewe,sijampeleka hospital ila watu wananiambia sababu ni joto.
Je kuna ukweli wowote katika hilo na kama siyo nitumie dawa gani majipu hayo yaondoke?
Habari zenu wakuu,
Kuna kazi ya kusafirisha Contena 19 za 20ft Kasama ZAMBIA,mzigo uliomo ni MBOLEA.
Natafuta gari 19 zenye uwezo wa kubeba contena za 20ft kupeleka na kuzirudisha.Yeyote mwenye connection na mwenye gari anicheki tufanye kazi.Tunalipa $3500 kwa kila gari.Advance tunalipa 70%...
Wakuu sukari ni ugonjwa hatari sana,life style yetu vijana pombe kwa wingi na lishe mbaya zinazotufanya tuvimbe matumbo na kujiona tuko safi ndo hupelekea ugonjwa wa Sukari. Kama hujawi kumuona mgonjwa wa sukari anavyoishi unaweza usielewe.
Ni vyema uzingatie lishe bora epuka overweight,punguza...
Kuna fundi nilimpata akanishauri nitumie Mnangu au Mtondoro kwenye frame,sijajua ubora wake.
Kwa top ameshauri kwa uwezo wangu wa kifedha nitumie Mpodoo je mlango utakuwa na ubora wowote?
Habari wakuu,natumaini mko poa..
Nina ishu ktk kumalizia kibanda changu, nahitaji frame za milango na milango/top kwa ajili ya milango ya nje miwili mkubwa (double) na mdogo wa kawaida.
Kwa wataalam naomba ushauri
1. Ni mbao zipi zinafaa kwa ajili ya frame na zipi kwa ajili ya milango/top...
Kama we ni mwanaume hii ni aibu sana ni bora hata usingethubutu kuhadithia upuuzi kama huu,ulipaswa kumwambia mwizi rudisha kimyakimya asingekataa angeona noma na kwa hofu ya kupigwa angerudisha angalau ungekua umemsaidia huyo mama kuliko kuja kueleza vitu kama hivi
Mkuu jiandae kufanyiwa kitu kinaitwa Destination Inspection(DI),hii ni baada ya kujaza form ya DI ambayo agent wako ataichukua TBS.kuna gharama za kulipia DI ikiwamo Inspection fee, sio hela nyingi sana.Kujiridhusha fika ofisi za TBS pale posta jengo la Diplomatic house
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.