Kauli mbiu ickuchanganye....hapa kazi tuu......kazi yenyewe iko wapi?....izi misemo inawachanganya sana wtz....tumeckia mengi sana na sasa ni wakat wa mabadiliko
Acha maneno ya kuunga unga wewe kuwa na ficra mbadala ....kazi kuropoka tuuu ....ucngiz ni jambo la kawaida......ujui uchovu wa Kampeni wewe kaxi kutanua mdomo tuuu pacpo kufikiria
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.