Recent content by bigshoo

  1. bigshoo

    NEC, ZEC na CCM wameumbuka kwenye uchaguzi mkuu Tanzania 2015

    Kauli mbiu ickuchanganye....hapa kazi tuu......kazi yenyewe iko wapi?....izi misemo inawachanganya sana wtz....tumeckia mengi sana na sasa ni wakat wa mabadiliko
  2. bigshoo

    Serikali iwaheshimu wananchi, ifanye yafuatayo

    Kuna ukweli mzuri apo......tunafanya aya coz tunaongozwa na katiba mbovu iliyopitwa na wakati....haiendani na mazingira ya sasa
  3. bigshoo

    Natafuta mume anayetaka mwanamke bikira

    Hatari sana kuwa na bikra kwenye umri huo.....labda ya kutengeneza
  4. bigshoo

    Nape Nnauye maji ya shingo Mtama

    Bora ashindwe kabisa maana amefanya siasa ya Tanzania kuwa sehemu ya kuropokea pacpo kufikiria
  5. bigshoo

    Kulala kwa Lowassa Msibani kuwe Funzo kwa Wapiga kura Tanzania

    Acha maneno ya kuunga unga wewe kuwa na ficra mbadala ....kazi kuropoka tuuu ....ucngiz ni jambo la kawaida......ujui uchovu wa Kampeni wewe kaxi kutanua mdomo tuuu pacpo kufikiria
  6. bigshoo

    Tuliposema kuwa Mbeya sio ngome ya Upinzani nadhani hatukueleweka

    Unaitaji maomba ya kina zaid
  7. bigshoo

    Naipa Serikali Siku 7, kama Mkuu wa Majeshi hatajitokeza...

    Batili .......awazi mbele kabisa ....upo tuuu kutimiza ratiba ya kulala na kuamka.......funguka kifra wewe acha mgando wa akili
  8. bigshoo

    CCM itashinda kihalali bila goli la mkono

    Ni kweli jamaaaa hana sifa iyo zaid ya kuwa mkandarac aise
  9. bigshoo

    Paul Kagame umeongea ukweli hataki unafiki!

    Kagame amesema ukweli
  10. bigshoo

    Ni Saa 144 za Kifo cha CHADEMA

    Una ndoto za mchana wewe
  11. bigshoo

    Kimoyomoyo ninaumia na mambo ya jana katika uzinduzi wa Kampeni za CHADEMA/UKAWA

    Mwanaume wa kweli hana umbea........direct kwenye point na cyo porojo zizizo na maana....amka wewe kijana acha kupenda uswahili mwingi.
Back
Top Bottom