Ni Saa 144 za Kifo cha CHADEMA

Ni Saa 144 za Kifo cha CHADEMA

Unajidanganya sana Wewe ccm Pesa zenu tumekula na tunawachagua ukawa
 
Wao kama wangekuwa na dhamila ya kweli kuhusu mabadiliko, basi ni wazi kabisa wangeweka nguvu yao kubwa kwenye ubunge kwa maana ya kupata tume huru na pia kupata katiba mpya, vyote hivo kwa kupitia bunge ni rahisi sana upatikanaji wake, lakini wao pia wanatafuta urais kupitia katiba ya zamani ili na wao waishi kama wafalme, na kimsingi na wao pia hawapendi katiba mpya hasa Lowasa na wenzake, unapokuwa mpinzani ndo unaona faida ya katiba mpya.
 
Kama hawakabidhi madaraka kwa hiari,watafanya kwa lazima!

Hakuna mtu wa kufanya hivo, hizo ni ndoto za mchana, ambazo kimsingi si nzuri, usiwe kama mjinga na usijiweke kwenye kundi la nyumbu, kwa kuwa hamtaki kusumbua vichwa vyenu ndo maana mnapata shida kuelewa haya mambo.

Kimsingi haitakiwi kutumia nguvu kama unavofikiri ww, na kwa kuwa hatuna wapinzani wa kweli kwa maana wengi wao ni wapiga dili2, ccm ingeweza kuondoka hata bila vurugu, kama haya yangefanyika mapema.

Walitakiwa kuwekeza kwa nguvu zote kwenye ubunge na udiwani, wametumia vipindi vinne bila mafanikio, lakini leo hii tungekuwa tunachuana kwa wabunge na madiwa na urais kwa nguvu zote, kwa sababu tungekuwa tumekwisha kufanya maandalizi kwa miaka 20.

Huwezi kutaka urais au kushinda urais wakati huo ulikuwa na wabunge wa kuchaguliwa 27, huo ni wenda wazimu mkubwa, huwezi kusema unataka mabadiliko kwa kuwekeza nguvu kubwa kwenye urais bila kuweka nguvu kwa wabunge na madiwani. ukipata urais bila wabunge ni nini utachokacho kifanya kwenye mambo haya, Katiba mpya, tume huru, kubadili mikataba na mambo mengine mengi, bunge tu ndo lenye uwezo wa kufanya yote hayo na si urais, ndo maana ccm itaendelea kuwa madarakani hadi hapo tutakapoamua kufanya mambo ya msingi kwanza. wapinzani wengi ni walaghai tu na hawapendi kutoa elimu kwa wanachama wao, ndo maana inafikia mahala Mbowe anatamani kuvunja sheria za tume na kuwalazimisha vijana kulinda kura wakati huo mawakala wapo ndani ya vyumba vya kupigia kura-huo ndo umburla wenyewe.
 
Hivi watanzania tunafikiri Na makalio sio. Escrow epa mabehewa feki mikataba mibovu ya gesi misamaha ya kodi ununuzi ya magari ya gharama kubwa mfumo mbovu wa elimu uozo idara ya afya badooo unadai sisiem. Acha ujinga ww mtanzania lofa
 
Mkuu pia kwa kuongezea ni kuwa huku majimboni wamesimamisha wagombea wote wa ukawa , cuf, nccr , cdm kwenye jimbo hilo hilo , halafu wanasema kuna ukawa
 
Imebainika kuwa saa 144 zilizobakia CCM na Mgombea wake Dr Magufuli wamezidi kukubalika kwa wanainchi kutokana na sera zinazogusa wananchi wa kawaida.Wakati chama cha Chadema kimezidi kupoteza mwelekeo kwa jamii kutokana na kukumbatia mafisadi na sera zao za vurugu.Saa 144 ndizo zilizobakia kwa Chadema kuendelea kusikika katika ulimwengu wa siasa za Tanzania.

Magufuli Ikulu asubuh sanaaaaaaa
 
Chadema hawawezi kucmama tenah baada ya uchaguzi kupita kitakuwa kifo chao chadimu hawana jipya
 
1. Tanzania sio ya CCM,ni nchi ya Watanzania wote 2. Watanzania wameichukia CCM wakiwemo wana CCM wenyewe,hawataki kamwe kuiona ikienedlea kutawala kutokana na kushindwa kuwatimizia wananchi ahadi walizoahidi wao wenyewe 3. Kama kuna chama cha wapiga dili duniani CCM ni nambari one (Kuanzia Jinga Kubwa mpaka balozi wa nyumba kumi kumi (Na hii ndio chanzo cha umaskini wetu 4. Wapinzani wote wanafahamu sheria za nchi vyema.Anayetaka kuvunja sheria ni JMK na wala sio Mbowe 5. Kwa kuwa kura hazijapigwa ni vigumu kujua wabunge wangapi watashinda!!!
 
Back
Top Bottom