Recent content by Bigjahman

  1. Bigjahman

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Katika kitu ambacho sitaruhusu ni mwanamke kunipanda kichwani

    Soma jina lake utajua aina ya simu na maisha yake
  2. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mmasai anayeshutumiwa kumuua Mchina inavutia kimedani. Nipo interested nayo kuona kile jeshi letu litafanikiwa na kwa muda gani

    Ila ujue masaai ni tofauti na muarusha, waarusha ni wahuni sana Masai watu poa sana
  3. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Natafuta nnje ya box Nikki wa pili na pass the mic around huu ulifanywa na wasanii kadhaa wa arusha rap song tafadhali nisaidie apa
  4. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Yajue mambo mazuri ya wakurya ambayo ulikuwa huyafahamu

    Wakurya ni wakabila kinyamaaa ayo mengine nakubali alaf wanawake zao ni vingnganizi atar alf wavumilivu mbaya kabisa alaf wazur sema sasa wanakatwa viutamu,alaf wanaume zao ndo wambeya wana vimdomoo kuliko wanawake, bora mzaramo mwanamke kuliko mwanaume wa kikurya Kwa umbea nimeishi nao sana uko...
  5. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Kifo cha hawara (Mkono Wa Jini)

    Mkula angemaliza tu tumbless ama hana mpango wa kuleta tena story apa, ujue alikuwaga na mavyeo plus manyota kama yote kutoka kwa maraia,for the very first tym jf nlituma muamala maali ili kusupport kitu ni story Za uyu mwamba, alikuwaga unique but now
  6. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Polepole apuuzwa na Watanzania na kuonekana ni mnafiki na mbaguzi

    WATANZANIA WA JAMII FORUMS NAWAOMBA NA KUWASHAURI WATU WA AINA HII TUWAPUZE NA KUWAPOTEZEA MAANA CHOCHOTE MNACHOANDIKA KWENYE UZI ZAO NDO KINACHOWAPUSH KUENDELEA KUPOST MAUONGO, MAUONGO YAKISEMWA SANA HUGEUKA KWELI KWA MUDA NA MAZOEA HUTENGENEZA TABIA, WANATUONA WAJINGA SANA WAO WANAFAIDI...
  7. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Kifo cha hawara (Mkono Wa Jini)

    Dah kamoja tu kweli?
  8. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Wakuu tuwe makini lock milango kabla ya kuanza kuendesha gari

    Ndo maana kwenye gari kunakuwaga na baby/child lock muzitumie izi, ukiiweka mlango haufunguki kwa ndani mtoto anakuwaga salama
  9. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aokoa TZS 100bn kila mwezi Bandari ya Dar es Salaam pesa inayoweza kujenga madarasa mapya 5,000 kila mwezi

    Ayo madarasa yako wap tangia aanze kuokoa 100bln?au ndo zimeanza kuokolewa jana nn? Usije ikawa ndo kauli Za akili maiti
  10. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Kifo cha hawara (Mkono Wa Jini)

    Au lbd yy sio maandishi mwenye story kampiga pini au haijapostiwa uko anapoitoa, maana maandishi halisi hawezi kuwa ivi
  11. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania PICHA: Nilichoshuhudia ni ishara mbaya sana kwa jamii

    Mbuzi wa kizenji hao
  12. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Fatma Karume, alikuwa na chuki binafsi na Magufuli

    Apo ni labda dini na uzenji labda lakini
  13. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya Kijasusi: Safari ya Gavin Luca

    Mi nakaribia kuacha kusoma stories za jf zina arosto, nafatilia stories mbili tu lkn zote bado zinanipa arosto kali mpk homa zinaharibu mpk vita ya kuchill home weekends
  14. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya Kijasusi: Safari ya Gavin Luca

    Mkuu apo vp? Baadae hii inapendeza zaid
Back
Top Bottom