Recent content by Bigjahman

  1. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Tamasha la bongo flavour honours ni la kibaguzi na kimkakati

    Mnakumbuka siku sugu amewabania kuongea jukwaani uchawa wao? Pale ndo walikurupuka na huu mkurupuko wao, fid na Madera ni machawa wanna be sema ni washamba by nature (default)
  2. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Je, Waziri Katambi anajisikia anachokisema anapodai wamekamata watu wenye silaha na madumu ya mafuta waliokuwa wakipanga kuchoma moto?

    Mimi na wewe tunaishia hapo umeanza kutumia hisia,nafkir umejionea watukanaji pia ni akina nan,kugo personal naeza ila tukiwa face to face,kiamani nakubali kutokukubaliana na ww, Good day genius
  3. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Je, Waziri Katambi anajisikia anachokisema anapodai wamekamata watu wenye silaha na madumu ya mafuta waliokuwa wakipanga kuchoma moto?

    SGR are you serious ndugu yangu? Ebu fanya research kbl ya kuongea maana nna uwakika hii Mikopo kama umeila ni hela ya mboga na vocha umepata, jiulize kbl ya mama samia kurud nyuma maendeleo kiasi gani yalifanyika Kwa kiasi kile cha Mikopo then kipindi ichi kwa Mikopo aliyochukua mama samia Kwa...
  4. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Je, Waziri Katambi anajisikia anachokisema anapodai wamekamata watu wenye silaha na madumu ya mafuta waliokuwa wakipanga kuchoma moto?

    Umemskia pm recently eti wamekamata mtu alikuwa alipwe one million USD na waliomtuma wamejulikana makazi yao hii kauli bana genius imemake sense kwako? Alf hao wanaoenda kwenye mikutano ya pm wakatatuliwa mashida zao una ushaidi huo wametatuliwa? Mind you ni mifumo iliyofail na usimamizi wa ovyo...
  5. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Je, Waziri Katambi anajisikia anachokisema anapodai wamekamata watu wenye silaha na madumu ya mafuta waliokuwa wakipanga kuchoma moto?

    Tatizo la ujinga ni elimu inayotolewa na hao unaowatetea,ivi inakuingia Akilini mtu hajui atakula nn aache kazi yake itakayompa ridhiki ya siku iyo aende kwenye mkutano wa cdm? Kama jibu ni Ndio them VP kuhusu mikutano ya pm? Na vp izo magufuli day waanapo acha kazi kuja kufanya usafanya usafi...
  6. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Je, unadhani ni wakati muafaka sasa kuwe na sheria ya kuruhusu wenye dhamana za wananchi tu ndio wafanye mikutano ya hadhara ya kisiasa?

    Wanajuta kukuta haki haipatikani kwa amani tumevuka imani... nakatisha kwenye shamba la pamba huku nikijiuliza tatizo ni nn viwanda au umasikini ona tuna madini ona nasema nn..... Bunduki hadi ibadani jiulize nan muhuni....Tunasonga Kwa mwendo wa farasi au kinyonga Kwa kunyongwa au risasi maasi...
  7. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Katika kitu ambacho sitaruhusu, ni mwanamke kunipanda kichwani

    Soma jina lake utajua aina ya simu na maisha yake
  8. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mmasai anayeshutumiwa kumuua Mchina inavutia kimedani. Nipo interested nayo kuona kile jeshi letu litafanikiwa na kwa muda gani

    Ila ujue masaai ni tofauti na muarusha, waarusha ni wahuni sana Masai watu poa sana
  9. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Natafuta nnje ya box Nikki wa pili na pass the mic around huu ulifanywa na wasanii kadhaa wa arusha rap song tafadhali nisaidie apa
  10. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Yajue mambo mazuri ya wakurya ambayo ulikuwa huyafahamu

    Wakurya ni wakabila kinyamaaa ayo mengine nakubali alaf wanawake zao ni vingnganizi atar alf wavumilivu mbaya kabisa alaf wazur sema sasa wanakatwa viutamu,alaf wanaume zao ndo wambeya wana vimdomoo kuliko wanawake, bora mzaramo mwanamke kuliko mwanaume wa kikurya Kwa umbea nimeishi nao sana uko...
  11. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Kifo cha hawara (Mkono Wa Jini)

    Mkula angemaliza tu tumbless ama hana mpango wa kuleta tena story apa, ujue alikuwaga na mavyeo plus manyota kama yote kutoka kwa maraia,for the very first tym jf nlituma muamala maali ili kusupport kitu ni story Za uyu mwamba, alikuwaga unique but now
  12. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Polepole apuuzwa na Watanzania na kuonekana ni mnafiki na mbaguzi

    WATANZANIA WA JAMII FORUMS NAWAOMBA NA KUWASHAURI WATU WA AINA HII TUWAPUZE NA KUWAPOTEZEA MAANA CHOCHOTE MNACHOANDIKA KWENYE UZI ZAO NDO KINACHOWAPUSH KUENDELEA KUPOST MAUONGO, MAUONGO YAKISEMWA SANA HUGEUKA KWELI KWA MUDA NA MAZOEA HUTENGENEZA TABIA, WANATUONA WAJINGA SANA WAO WANAFAIDI...
  13. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Kifo cha hawara (Mkono Wa Jini)

    Dah kamoja tu kweli?
  14. Bigjahman

    JamiiForums Tanzania Wakuu tuwe makini lock milango kabla ya kuanza kuendesha gari

    Ndo maana kwenye gari kunakuwaga na baby/child lock muzitumie izi, ukiiweka mlango haufunguki kwa ndani mtoto anakuwaga salama
Back
Top Bottom