Wakurya ni wakabila kinyamaaa ayo mengine nakubali alaf wanawake zao ni vingnganizi atar alf wavumilivu mbaya kabisa alaf wazur sema sasa wanakatwa viutamu,alaf wanaume zao ndo wambeya wana vimdomoo kuliko wanawake, bora mzaramo mwanamke kuliko mwanaume wa kikurya Kwa umbea nimeishi nao sana uko...
Mkula angemaliza tu tumbless ama hana mpango wa kuleta tena story apa, ujue alikuwaga na mavyeo plus manyota kama yote kutoka kwa maraia,for the very first tym jf nlituma muamala maali ili kusupport kitu ni story Za uyu mwamba, alikuwaga unique but now
WATANZANIA WA JAMII FORUMS NAWAOMBA NA KUWASHAURI WATU WA AINA HII TUWAPUZE NA KUWAPOTEZEA MAANA CHOCHOTE MNACHOANDIKA KWENYE UZI ZAO NDO KINACHOWAPUSH KUENDELEA KUPOST MAUONGO, MAUONGO YAKISEMWA SANA HUGEUKA KWELI KWA MUDA NA MAZOEA HUTENGENEZA TABIA, WANATUONA WAJINGA SANA WAO WANAFAIDI...
Mi nakaribia kuacha kusoma stories za jf zina arosto, nafatilia stories mbili tu lkn zote bado zinanipa arosto kali mpk homa zinaharibu mpk vita ya kuchill home weekends
We rudisha 7000 ya watu kibaka,yaan asiwe raia alf aruhusiwe Kufanya siasa ushasahau mmetoka kubaka mkenya na mganda sababu mlizotoa kuhalalisha zilikuwa ni nn?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.