Nilimwandikia hivi au unamaanisha tukaenjoy penzi my dear? alinipigia simu akajibu hivyo hivyo unavyoelewa na akakata simu.
Mkuu hujaelewa nini hapo? Au hukusoma kwa umakini!?
Minimum entry qualification ni Biology C, Chemistry C na Physics/Engineering Science D. So jiongeze mkuu unless otherwise walioomba wawe na sifa pungufu ya hizo.
Jamaa yuko sahihi ila kuiweka sawa ni hivi. Technical Education iko ktk utaratibu wa NTA levels. Unapohitimu certificate unakua NTA level 5 na Diploma ni NTA level 6 so, unapoanza mwaka wa kwanza unakua NTA level 4 na hapo unapata Basic Certificate ya unachosomea.
Mwapa wa pili ni NTA level 5...
Polisi jijini Dar wamewakamata watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi wakiwa katika jaribio la kuiba pesa katika benki ya NMB iliyopo Sinza-Mori, Dar es Salaam.Tukio hilo limetokea mchana wa leo katika Benki ya NMB tawi la Sinza-Mori jijini Dar ambapo majambazi hao walikamatwa wakiwa katika harakati...
Habari wanajamvi.
IDARA YA MSINGI
Nipo KATAVI-MPANDA natafuta Mwl. wa kubadilishana nae kituo cha kazi kutoka IRINGA, NJOMBE au MBEYA (Wilaya ya MBOZI, MOMBA, RUNGWE au ILEJE).
Mawasiliano: 0767 589 452
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.