Mzee Jason maeneo uliyoyataja huko home iramba hususani ibaga chemchem hadi sibiti nimefika miaka ya 1984 nikiwa na miaka 14 nikitokea singida vijijini maeneo ya mgori nilikuja sibiti kuvua samaki nakumbuka niliombewa ruksa shuleni ya wiki mbili lakini kulingana na mazingira na usafiri kwa...
Nina shida ktk simu yangu aina ya Samsung Galaxy tab A model number sm_T285 ni kwamba ni kwa nini haitaki kubadilishiwa line nina maana inasoma line moja tu naomba msaada nimejaribu mi mwenyewe nimeshindwa nimewashirikisha baadhi ya wadau nao wameshindwa msaada waungwana akhsanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.