Je makosa ya waamuzi huwa yanatokea kwenye match za Simba tu?
Tumeona makosa ya waaamuzi yakitokea kwenye match za Simba na malalamiko huwa ni Simba wamewalipa marefa...
Je malalamiko kwenye mechi zingine za yakitokea makosa kwa marefa malalamiko huwa ni nini?
Al Ahly,Vita, Soura,Nkana wote...