Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Samahani nilisikia alibaba wao wanauza vitu vya jumla ila ukitaka kunua vitu vya reha reja yaana kama simu 1 au 2 unatakiwa utumie aliexpress sasa leo katika pita pita zangu alibaba nimekutana na laptop na simu ambapo MOR(MINIMUM ORDER REQ) ni kuanzia moja nakuendelea. Sasa swali langu je na weza agiza/kununua laptop moja kwakutumia alibaba
Samahan kwa kiswahili kibovu na maelezo yasiyokamilika
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahan kwa kiswahili kibovu na maelezo yasiyokamilika
Sent using Jamii Forums mobile app