Recent content by BHULULU

  1. BHULULU

    Nampenda sana lakini kila nikiwaza kulea watoto ambao sijawazaa moyo unakuwa mzito

    Ninachokiona kwako ni ubinafsi. Wewe mwenyewe una mtoto ambaye siyo wake, halafu unasema hauko tayari kulea hao wengine. Sijakuelewa kwa kweli
  2. BHULULU

    Dar es Salaam kuna visa sana; Nilishawahi kufanya kazi kwenye ofisi imechoka hadi wafanyakazi mnamuonea huruma boss yaani boss hana matumaini kabisa!

    Nilifikiri mimi peke yangu nimecheka. Huu Uzi umefanya nimecheka sana alfajiri hii. Tunapitia mengi, watoto na wajukuu wetu watapata cha kusimuliwa. Maisha siyo mchezo.
  3. BHULULU

    Nikikumbuka mashindano ya Airtel university challenge huwa naona elimu yetu ni kituko na english mediums ni za mchongo, Udsm walitia taifa aibu

    Kwa kifupi watoto/wanafunzi wanaomaliza Elimu ya Sekondari mpaka vyuo miaka hii ya 2000's sijui wana nini! Vichwani wengi wao wepesi sana. Dah! Hata sijui kwa kweli miaka ijayo tutakuwa na wasomi wa aina gani
  4. BHULULU

    Nikikumbuka mashindano ya Airtel university challenge huwa naona elimu yetu ni kituko na english mediums ni za mchongo, Udsm walitia taifa aibu

    Nimekumbuka, Kuna dogo wa UDSM alisema anasomea political science! Kujieleza ilikuwa ni shida. Kuna dogo mmoja alitokea Chuo fulani cha Malawi alikuwa yuko vizuri sana! Halafu yule bwana aliyekuwa anauliza maswali alikuwa smart sana .
  5. BHULULU

    Kodi zetu ndio Maendeleo ya Taifa letu

    Mh. Dr. Mwigulu Nchemba kupitia comments hapa jamvini, nadhani unapata picha juu ya utendaji wako . Kwa kifupi watanzania hawaridhiki na utendaji kazi wako. Mkipewa dhamana kusimamia hizi ofisi za serikali, simamia kwa uadilifu, acheni tamaa na upigaji. Mimi nasikitishwa sana na kuporomoka kwa...
  6. BHULULU

    Ajali ya bodaboda jijini Mwanza

    Hivi mtembea kwa miguu barabarani anatumia upande wake wa kulia au kushoto?? Upande upi ni wa hatari kwake kulingana na sheria za barabarani?
  7. BHULULU

    KERO Walimu Sekondari JM Kikwete ya Tunduma waache kulazimisha Wanafunzi kununua karanga

    Uko sahihi kabisa, kuna kituo kimoja hivi wanafuatiliana sana.
  8. BHULULU

    KERO Walimu Sekondari JM Kikwete ya Tunduma waache kulazimisha Wanafunzi kununua karanga

    Huyu mleta mada ni mwalimu mwenzake, amejiunga humu ili kumchafua mwenzake. Kweli adui ya mwalimu ni mwalimu mwenzake. Jinga wewe badala uchukue hata chaki uuze unaleta majungu humu, jiongeze. Utakufa mk*d uko juu.
  9. BHULULU

    Umewahi kukumbana na Kero gani katika Huduma za Afya?

    Pole sana mkuu! Lakini nimejiuliza, kama ni zahanati ya kata maana yake na wewe ni mkazi wa hapo hivyo mnafahamiana, je, hukuwahi kuingia naye mgogoro kabla?? Pole sana
  10. BHULULU

    Mume wangu kanitukania Mama yangu, naombeni ushauri jamani

    Hii stori ukiisoma, kwanza ni ya uongo! Pili aliyeileta siyo mhusika (someni mstari wa mwisho). Mnapoteza muda kutoa ushauri
  11. BHULULU

    Hivi Mwandishi wa ITV Ufoo Saro yu wapi?

    Mkuu hiyo stori ilikupita?? Iko humu, tafuta kwa hilo jina lake utaipata
Back
Top Bottom