Recent content by BHULULU

  1. BHULULU

    KERO Walimu Sekondari JM Kikwete ya Tunduma waache kulazimisha Wanafunzi kununua karanga

    Huyu mleta mada ni mwalimu mwenzake, amejiunga humu ili kumchafua mwenzake. Kweli adui ya mwalimu ni mwalimu mwenzake. Jinga wewe badala uchukue hata chaki uuze unaleta majungu humu, jiongeze. Utakufa mk*d uko juu.
  2. BHULULU

    Umewahi kukumbana na Kero gani katika Huduma za Afya?

    Pole sana mkuu! Lakini nimejiuliza, kama ni zahanati ya kata maana yake na wewe ni mkazi wa hapo hivyo mnafahamiana, je, hukuwahi kuingia naye mgogoro kabla?? Pole sana
  3. BHULULU

    Mume wangu kanitukania Mama yangu, naombeni ushauri jamani

    Hii stori ukiisoma, kwanza ni ya uongo! Pili aliyeileta siyo mhusika (someni mstari wa mwisho). Mnapoteza muda kutoa ushauri
  4. BHULULU

    Hivi Mwandishi wa ITV Ufoo Saro yu wapi?

    Mkuu hiyo stori ilikupita?? Iko humu, tafuta kwa hilo jina lake utaipata
  5. BHULULU

    Hii nchi nikajua ambao hawapo serious ni Tanesco kumbe hadi matapeli wanasahau majukumu yao😂😂

    Dah! Ndiyo maana wanawake wanashinda "mission" nyingi sana. Serikali ikitumia wanawake itawanasa matapeli wote.
  6. BHULULU

    Matumizi ya akili bandia (AI) yahofiwa kushusha ubora elimu

    Mimi naona hizi AI software ni kama ilivyo Google na search engine nyingine. Pia bado haina tofauti mfano mtu akamuomba mwingine amfanyie kazi yake na yeye ku- submit. Tofauti ni kwamba ile ni software na huku aliyefanya ni binadamu. Kwa kifupi AI teknolojia haiepukiki maana ndiyo tuliyomo...
  7. BHULULU

    Nitamdai vipi hela ndugu yangu?

    Huyo dada yako ni hovyo kabisa. Hiyo hela alilipa VICOBA maana ndo stress za sasa hivi. Ushauri wangu, sahau kabisa kuhusu hiyo hela, endelea kutafuta, ubarikiwe!
  8. BHULULU

    Naomba ushauri na Msaada wenu kuhusu Scholarships Application Vyuo vya nje

    Hongera kwa hatua hiyo! Ushauri wangu, soma kwanza upate shahada ya kwanza kutoka vyuo vyetu vya ndani, halafu shahada ya Uzamili sasa uombe vyuo vya nje. Samahani kwa mawazo yangu, ila kama hutanielewa leo, utanielewa siku nyingine. Kila la kheri!
  9. BHULULU

    Mikasa/vituko vya lodge

    Huu uzi nimecheka sana. Hii dunia kuna mambo yanaendelea mengi sana.... Nimegundua - Logde nyingi au guest house hawazingatii usafi -Ligha nzuri kwa wahudumu na wateja bado ni changamoto, wote wababe - Ngono inatembezwa balaa -Wengi tunasahau kwamba hao wahudumu wana familia zinawategemea -Muda...
  10. BHULULU

    Sijui ni kwanini nikiufikiria tu huu Uhusiano wa Kiushirikiano ufuatao naogopa sana

    Hii ni wachache watakaoelewa! Kuna vitu vingi katika Dunia hii ambavyo ukiambiwa unaweza usiamini lakini kiuhalisia vinafanyika.
  11. BHULULU

    MOI watoa tamko kuhusu uvunjifu wa maadali uliofanywa wodini. Mgonjwa aomba radhi

    Ingekuwa ni mzungu kafanya hivyo humo wodini tusingeshuhudia hii panic yote. Lakini kwa vile ni mmatumbi, kelele!! Sijaona kosa hapo, tena ingekuwa Mimi ndo mgonjwa nisingeomba radhi. Halafu huyo mgonjwa jirani aliyerekodi "fwala" sana, humo wodini pangechimbika!
Back
Top Bottom