Recent content by bhukene

  1. B

    Tanzania yazidi kuneemeka: Sweden Kumwaga Tirioni 1.42

    Ah! Jamani, misaada inakuja tena na tunapokea! Kwa hiyo hatutaki kujikomboa kwa kujitegemea! Kweli njaa inasababisha "sizitaki mbichi hizi".
  2. B

    Dk. Benson Bana ashauri CCM wasimpe Magufuli uenyekiti wa chama

    Huwa namtafisiri huyo prof. kama msemaji wa chama ajibanzaye ktk tasnia ya taaluma
  3. B

    Plot4Sale Nauza kiwanja Mapinga

    Ile barabara ya kwenda Kibaha kutoka Baobab INA lami siku hizi, au ni gia ya kufagilia kiwanja!
  4. B

    Mbunge Mary Chatanda ataka Katiba ibadilishwe ili vyama vya upinzani visiruhusiwe kufanya mikutano

    Bora wameondoa kuonyesha bunge live; linaboa kuangalia kwa sasa. Hadi linatuaibisha
  5. B

    Wabunge wawili wa CHADEMA wasimamishwa, ni Susan Lyimo na Anatropia

    Hata sisi huku mtaani ktk sakosi yetu tunataka tuanzishe kamati yenye jukumu moja tu: kutafuta sababu za kuwaadhibu wanasakosi wote wenye mawazo tofauti na yetu sisi. Hatuwezi kukosa sababu ya kuwataiti maana lazima wakosee kitu tu; mwanadamu hawezi kukosa dosari au makosa; penye nia, lazima...
  6. B

    Wabunge wawili wa CHADEMA wasimamishwa, ni Susan Lyimo na Anatropia

    Haki haijatendeka vizuri; wapewe adhabu kubwa zaidi kwa sababu ni wapinzani. Ikiwa kundi la waheshimiwa 15 wenye akili zao walikuwa wanaendesha vikao vizito vyenye gharama kubwa za kodi za wananchi, vichwa vyote hivyo vikishughulikia sentensi iliyosemwa na mbunge mwenzao mmoja au wawili, basi...
  7. B

    Je, Mwanaume anaweza msahau mpenzi wa zamani baada ya ndoa?

    We mama umelijua jiji kwa mashambulizi uliyoelekezewa bila kosa, kwa kuuliza tu. La muhimu, mpende mume wako, watoto na ndugu zenu. Hayo mengine ya kihistoria tumwombe Mungu atusamehe. Tulio wengi, mambo yetu ya nyuma ni uchafu usiombe kuyajua. Tujenge maisha na mahusiano mema ya sasa na yajayo
  8. B

    Was Jesus Black?

    Huu uzi umesaidia kufunua historia kubwa ambayo watu hawakujua. Ni jambo la kupongezwa. Lakini, Yesu kuwa mweupe au mweusi, kuwa Jesus au Yashuwa, yote hayana msaada kwangu. Najua neno moja tu kwamba Mwana wa Mungu aliyetolewa na Mungu, akazaliwa kama mwanadamu, akaitwa jina Yesu, akafa kifo...
  9. B

    Waziri mkuu adanganya juu ya matumizi ya Kiswahili duniani

    Huna sababu ya kupindisha mambo yaliyosemwa wazi na hadharani, alisema Kiswahili ni miongoni mwa lugha sita au nane zinazozungumzwa zaidi ulimwenguni. Alijihami kwa kuonyesha dalili ya kutokuwa na uhakika aliposema kwamba "kama sijakosea". Lakini, akiwa kama waziri mkuu, alikuwa halazimiki pale...
  10. B

    CCM yamjibu Gwajima, yawaomba wanaCCM kupuuza uongo, uzushi na ushauri hasi wa Askofu Gwajima

    Haya maelezo hayafanani na yanayopaswa kutoka ndani ya chama. Mbona yana jaziba na yanaattack sana mtu mmoja mmoja kama vile yanatoka kwa mtu binafsi mwenye chuki binafsi. Chama kama taasisi hakiwezi kutoa tamko rasmi la kuhama kutoka kwenye ubaya was hoja iliyopo kwenda kwenye ubaya was watu.
  11. B

    JUKATA: Mchakato wa Katiba Mpya uanze sasa

    Sana tu maraisi was Afrika wanatafuta kuikataa ICC
  12. B

    Polisi wamezingira nyumbani kwa Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Joseph Gwajima

    Gwajima naye bwana, sijui ni mtumishi wa aina gani! Badala akemee viongozi wa upinzani na wananchi wa kawaida, anakemea viongozi wa CCM na serikali
  13. B

    Mwenye uelewa anisaidie tofauti ya raia na Mwananchi

    Hayo in matumizi ya lugha ya kimtaani au matumizi mengine ya neno RAIA. Lakini, kwa maana yenyewe, hats mwanajeshi in RAIA was nchi
  14. B

    Mwenye uelewa anisaidie tofauti ya raia na Mwananchi

    Naongezea juu ya maelezo ya wenzangu. Mwananchi ni mtu anayeishi katika nchi; ni mwenyeji wa nchi kijamii na kimakazi. RAIA ni mwenyeji wa nchi kisheria na kisiasa. Ana haki ya kushiriki maamuzi na matendo rasmi ya kisheria na kisiasa. Zingatia kwamba, mwananchi anaitwa hivyo sababu anaishi...
Back
Top Bottom