Recent content by bhuchanagandi

  1. B

    Jerry Muro Awaombea Rais Magufuli, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu

    Baada ya kupigwa chini yanga sasa ameona mahali pa kutokea ni ccm, endelea kubwabwaja utafanikiwa na kulingana na mifano hai iliyopo umeliona hilo!
  2. B

    Mzee Akili Mali atangaza kugombea uenyekiti wa Yanga

    Hana hela , hana elimu labda agombee nafasi kamati ya ufundi.
  3. B

    Sikutegemea Wasira hataonekana

    Wewe lizabon unataka kutuambia kuwa ccm wagombea wake wote ni wanaume? Yaani mwaka huu hatuna mchezo kabisa yaani tunafagia tu! Wasira ajiandae kwenda kulima pamba kijijini.
  4. B

    CCM kwenda CHADEMA

    Hongera sana bwana X kwa kujitambua na karibu kwenye mabadiliko ya kweli ya kuwang'oa maccm madarakani.
  5. B

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    PEOPLES' POWERiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii:msela:
Back
Top Bottom