Sikutegemea Wasira hataonekana

Sikutegemea Wasira hataonekana

Muea hatuwezi kuongozwa na mwanamke Mura. Wasira ndo.chaguk letu

Ila mkuu sasahivi ndiyo nimepata jibu la kwanini ulimchapa yule Mzee. Kumbe naye ni mchumia tumbo mwenzetu tu hana lolote la maana.
Awali nilikulaumu kwa ulichokifanya lakini naomba nitumie fursa hii kukupongeza kwa kumtia adabu.
Pili, kuna yule dogo mwengine ambaye huwa anaambatana naye, yule nae naomba uangalie jinsi ya kumtia displine maana naye amekengeuka.

Goodmorning!!
 
Ama kweli ukitaka ujue kutetea jimbo siyo lelemama na siyo kazi ndogo muulize mzee Wasira; haikuwa rahisi kutokumuona wasra kwenye kampeni za kumnadi Pombe.

Wasra hiyo ndiyo CDM ulisome itakufa baada ya uchaguzi wa 2010 sasa badala yake unakufa wewe na CCM yako

Nafikiri una mawazo ya utapiamlo umekosa maada ya kujadili na umeona hyo ndio uamke nayo sijui labda kiwango chako cha elimu umesoma kweli maana kama hauna shule kichwani mwako basi unahtaji ukombozi wa kifikra
 
Mkuu, wana Bunda bado wanamhitaji Wasira. Nyie kama hamnui umuhimu wa wazee endeleeni hivyo

CCM kama mgekuwa mnajua umuhimu wa wazee, msingemtukana Lowassa matusi ya nguoni,msingemtandika makofi Warioba.
 
Muea hatuwezi kuongozwa na mwanamke Mura. Wasira ndo.chaguk letu

Lizaboni siku hizi hata kuandika Huwei???chaguk ni nini???mkuu you have been isolated!so sad...hiyo ndo kazi ya kujibu comments 2000 peke yako..toroka uje!itafikia kipindi utakuwa kama dume la nyani!lililotengwa!
 
teh teh teh teh, GEORGE MASATU WASIRA a.k.a TYSON .Kama alivyochuja TYSON original ndiyo hivyo hivyo anavyochuja huyu TYSON wetu fake!
 
Muea hatuwezi kuongozwa na mwanamke Mura. Wasira ndo.chaguk letu

hivi mkuu unaposema hamuwezi kuongozwa na mwanamke vp mgombea mwenza wenu wa uraisi umesahau ni mwanamke??? nasema hivi Bulaya Esther amepita kule anasubiri kuapishwa huyu dada alikuwa amejijenga kisiasa bunda hii
 
Ama kweli ukitaka ujue kutetea jimbo siyo lelemama na siyo kazi ndogo muulize mzee Wasira; haikuwa rahisi kutokumuona wasra kwenye kampeni za kumnadi Pombe.

Wasra hiyo ndiyo CDM ulisome itakufa baada ya uchaguzi wa 2010 sasa badala yake unakufa wewe na CCM yako

Hapana chezea nguvu ya umma wewe
 
ALITAKIWA AWE MTU WA KWANZA KUKEMEA KUHUSU MCHAKATO BATILI WA UPATIKANAJI WA RAIS KUPITIA CCM!
ii
 
Wewe lizabon unataka kutuambia kuwa ccm wagombea wake wote ni wanaume? Yaani mwaka huu hatuna mchezo kabisa yaani tunafagia tu! Wasira ajiandae kwenda kulima pamba kijijini.
 
  • Thanks
Reactions: tim
Nafikiri una mawazo ya utapiamlo umekosa maada ya kujadili na umeona hyo ndio uamke nayo sijui labda kiwango chako cha elimu umesoma kweli maana kama hauna shule kichwani mwako basi unahtaji ukombozi wa kifikra

hili la wasira linahitaji shuke mkuu.. hapo ndo umeonyesha tofauti yangu na yako... nadhani sera ya elimu elimu elimu inahitajika kweli, hili suala liko wazi hata bulembi analijua kuwa wasira kafichwa
 
Mkuu, wana Bunda bado wanamhitaji Wasira. Nyie kama hamnui umuhimu wa wazee endeleeni hivyo
Sio kila Mzee anahitajika, wanapotosha vijana kwa kuwaonyesha kuwa Bungeni ni sehemu ya kwenda kulala.
 
Back
Top Bottom