Recent content by bhokesa

  1. B

    Kwanini Lema hakuwepo uwanja wa Sheikh Amri Abeid kuwasilisha matatizo yanayoikabili Arusha?

    Sawa ila si rais kama magufuri ambaye hana utu, hana nia njema na upinzani na si mwanademokrasia. I hate my president
  2. B

    Kwanini Lema hakuwepo uwanja wa Sheikh Amri Abeid kuwasilisha matatizo yanayoikabili Arusha?

    Matatizo ya arusha yanasababishwa na ccm na serikali yake anawezaje kutoa matatizo kwa wanaosababisha acha ujinga
  3. B

    Diwani amcharukia Magufuli: Hakuna Mwananchi atakayefyeka bangi kwenye kata yangu

    Kwa sheria mmea hauwezi kuthibitika kuwa ni bangi mpaka athibitishe mkemia
  4. B

    Diwani amcharukia Magufuli: Hakuna Mwananchi atakayefyeka bangi kwenye kata yangu

    Hujitambui rais ni taasisi hakuna ruksa kuvunja sheria kisa rais. Ataambiwa tu. Huyo si john magufuri wa chato au akiwa rais anakuwa mungu acheni ujuha
  5. B

    Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

    Si lazima awe mhutu kweli lakini matendo yanaweza kuwa ya kuhutu. Hakuna huruma kwa watu na utu, mbaguzi etc. Hiyo ni satire
  6. B

    Spika Job Ndugai akiri kuyafahamu madai ya kambi ya upinzani bungeni, amwandikia Mbowe barua kuona namna ya kuyatatua

    Akiwa mgonjwa anapataga akili ila afya ikikaa vema na akapiga lager anabadilika. Bora awe anauugua ugua ili awe na busara
  7. B

    Bei ya mafuta kupanda kuanzia April 4,kuporomoka kwa shilingi dhidi ya dola kwatajwa kuwa ni moja ya sababu

    Acha wakandamizwe ili waamke na kutafuta haki yao wenyewe. Upinzani umefanya mengi ya kutetea wanyonge bila hao wanyonge kutambua hilo sasa italazimika watoke wenyewe
  8. B

    Bei ya mafuta kupanda kuanzia April 4,kuporomoka kwa shilingi dhidi ya dola kwatajwa kuwa ni moja ya sababu

    Watanzania wengi hawajasoma na hawajui nini ya uchumi wa taifa. Wanadhani ni kama kumiliki duka. Uchumi wa taifa ni mlinganyo na kama hujabalance inakula kwetu. Na watakaohangaika ni wanyonge si akina mbowe wanaolala jela kututetea. Kuna kitabu chenye maudhui kama haya, kinaitwa "an enermy of...
  9. B

    Dodoma: Kambi ya Upinzani yanyang'anywa Watumishi, Wagoma kuandaa Hotuba, Katibu wa Bunge anawahujumu

    Mnadhani upinzani ukifa anaumia mbowe. Mtaumia nyie. Hatakuwepo wa kuwasemea. Ccm kwa yote waliyofanya hawakujua mpo wanyonge na mnastahili unafuu katika maisha?
  10. B

    Askofu Mkude: Kama sisi sio sauti ya Mungu, basi anaye Mungu anayemwamini yeye ndio anaisikiliza

    Wewe ndo mjinga na unayeoaswa kupuuzwa. Unaweza kutesa mwili kisha utarajie roho ifurahi? Magufuri kazi yake kustawisha miili ya watu kwa maana ya maisha mazuri na maaskofu wanastawisha roho. Kila mmoja anayo nafasi
  11. B

    Ansbert Ngurumo: Paul Makonda aongoza kikao cha maangamizi ya CHADEMA ambacho ni hatari kwa Taifa

    Mayala, hata swali ulilouliza rais kuhusu kuvunja katiba ulikuwa kazini? Hata kama raisni msukuma ndo mmeamua kutuuua? Kutuonea? Ni dhambi ipi kuwa upinzani? Halafu huu urais wa wasukuma hautaisha? Mmeamua kuvuruga nchi na kutesa watanzania? Haya ni wakati wenu.
  12. B

    Serikali yakacha kutokea Mahakamani kwenye kesi dhidi ya Kampuni ya ujenzi Konoike. Yadaiwa Dola Milioni 60

    Kujua taarifa za nchi yetu na pesa zetu zinavyotumika vibaya
  13. B

    Serikali yakacha kutokea Mahakamani kwenye kesi dhidi ya Kampuni ya ujenzi Konoike. Yadaiwa Dola Milioni 60

    Hata kama wana maslahi ni ccm. Halafu deni linakuwa baya kama huendi kujadiliana na badala yake unakacha. Na unajua watakamata hadi meza za balozi zetu majuu, magari, mpaka peaa zao zitimie
Back
Top Bottom