Hujitambui rais ni taasisi hakuna ruksa kuvunja sheria kisa rais. Ataambiwa tu. Huyo si john magufuri wa chato au akiwa rais anakuwa mungu acheni ujuha
Acha wakandamizwe ili waamke na kutafuta haki yao wenyewe. Upinzani umefanya mengi ya kutetea wanyonge bila hao wanyonge kutambua hilo sasa italazimika watoke wenyewe
Watanzania wengi hawajasoma na hawajui nini ya uchumi wa taifa. Wanadhani ni kama kumiliki duka. Uchumi wa taifa ni mlinganyo na kama hujabalance inakula kwetu. Na watakaohangaika ni wanyonge si akina mbowe wanaolala jela kututetea. Kuna kitabu chenye maudhui kama haya, kinaitwa "an enermy of...
Mnadhani upinzani ukifa anaumia mbowe. Mtaumia nyie. Hatakuwepo wa kuwasemea. Ccm kwa yote waliyofanya hawakujua mpo wanyonge na mnastahili unafuu katika maisha?
Wewe ndo mjinga na unayeoaswa kupuuzwa. Unaweza kutesa mwili kisha utarajie roho ifurahi? Magufuri kazi yake kustawisha miili ya watu kwa maana ya maisha mazuri na maaskofu wanastawisha roho. Kila mmoja anayo nafasi
Mayala, hata swali ulilouliza rais kuhusu kuvunja katiba ulikuwa kazini? Hata kama raisni msukuma ndo mmeamua kutuuua? Kutuonea? Ni dhambi ipi kuwa upinzani? Halafu huu urais wa wasukuma hautaisha? Mmeamua kuvuruga nchi na kutesa watanzania? Haya ni wakati wenu.
Hata kama wana maslahi ni ccm. Halafu deni linakuwa baya kama huendi kujadiliana na badala yake unakacha. Na unajua watakamata hadi meza za balozi zetu majuu, magari, mpaka peaa zao zitimie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.