Kweli na udhalilishaji na ukiukaji wa haki kisheria, hata kama tunachukia wizi. Na mleta post pia, ingawa umekerwa na kitendo hiki, maelezo yako yako emotional sana kiasi kwamba na wewe unaweza kujikuta unakiuka haki za wasomaji wa post yako
Kupiganiwa kuna maana nyingi. Kupigana wao kwa wao wakikugombania. Wore wawili kupigana na kitu kwa niaba yako au mahali ambapo wewe ndiye ungepigana. Wao kujitoa/kujitolea kupigana na adui yako ili kukukinga asikudhuru
Hiki king'amuzi kinasumbua kweli. Mara nigeize kama nafuata uelekeo wa upepo! Sasa tangu jana kimekata channel zote, kinaonyesha TBC1 peke yake wakati mimi huwa sipendi kuangalia channel hiyo ya taifa! Nyingine zote za local naambiwa recharge! Nisaidieni ushauri.
King'amuzi ni cha kampuni hiyo...
Ah! Kgm ilishafika mbali mwaka 2015. Check hapo ktkt ya mji palivyopaishwa. Check like ghorofa la stesheni kule mwisho ktk picha kinavyong'aa!
Bado huenda umejengwa mtandao wa barabara za lami ndani ya manispaa na kuunganisha wilaya zote za mkoa. Ni mkoa gani Tz unaoweza kuufikia huu wa Kgm...
Hata Mimi nadhani hatuwezi kupambana na ushoga kwa nihemko na sheria ndogondogo. Hili ni suala kimaadili na haki za kibinadamu. Tunaweza kilichukia sana kwa muda ambao wataalam na wanaharakati hawajalisimamia kwetu kiasi cha kutosha. Approach ya mafundisho ya dini no muafaka zaidi. Ingawa hata...
Mimi nitajitahidi nisiwe msaliti kwa jamii pana. Nikiwa upande wa wakoloni wanaokandamiza wapigania uhuru nitasalia huko au nitajitahidi kuhamia kwa wapigania uhuru, ila sipendi kubaki ktk pande zote mbili, ni usaliti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.